Nifanyeje kupunguza hamu ya ngono?

McCain

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2016
Posts
1,169
Reaction score
517
Ni mwezi umepita natamani kila siku nifanye tendo la ndoa nimemaliza mtaa wote nikiwa na happy Najua labda itaisha lakini matokeo co
 
hili tatizo ni kwa vijana na wazee wote wasiona mawazo ya kuumiza ubongo,muda wote anawza ngono tu......jitahid kuwaza matukio muhimu tu!
 
Fikria kuwa wewe kwa sasa ni masikini, unatakiwa uwe na nyumba yako, gari lako, familia bora na kusaidia wengine, hivyo vi ny.ege uch.wa.ra vitakuisha tu, pia Fanya mazoezi makini kama martial arts, n.k.
Kuwa na mpenzi mmoja tu.
 
Aiseee yan wengine tupo tunakimbizana na kasi wewe bado unawaza ngono. Naona bado hujaisoma namba. Siku ukiisoma sidhan kama utawaza ngono .
 
Fanya mazoezi kwa saana,utaacha huo upuuzi
 
Dogo Hilo tatizo sio lako peke yako, kwamfano binafsi nashiriki kupiga mazoezi ya aina mbali mbali lakini bado everyday zinasumbua, nina kazi na familia lakini everyday ngono imetawala kichwa changu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…