academiazSoft 0654238234
Member
- Jul 24, 2023
- 57
- 88
Hakika ni mateso makubwa, lakini academiazSoft ipo kwaajil ya kukuondolea mzigo huo mzitoNi mateso sana ukiona jamaa alivyozungukwa na makaratasi yenye namba namba na zote anatakiwa aziingize
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika ni mateso makubwa, lakini academiazSoft ipo kwaajil ya kukuondolea mzigo huo mzitoNi mateso sana ukiona jamaa alivyozungukwa na makaratasi yenye namba namba na zote anatakiwa aziingize
PIta hapa academiazSoftOngeza nyama
Umeelewa kinachojadiliwa?Ni sahihi lakin kuna njia rahis mnoo ambayo u just need 10 minutes kuandaa taarifa na report na mikeka ya matokea kwa darasa la watoro 300 ndani ya dakika 10 tu.
Ukishaweka scores basi, academiazSoft itakuandalia instantly
Na mengine mengi mnoo
- Report
- mikeka
- unaweza tuma message za matokea kwa email na SMS
- unaweza tuma report kupitia simu ya mkononi hata kama mzazi hana smart phone
Naam ndugu yangu mkuu great thinker expert memberUmeelewa kinachojadiliwa?
Ni rahis sana kuitumia kaka, na tuna fanya training bure kabisaa kwa staff maana unaweza itumia hata kwa simu yako tuHii app ya academic inaonekn ipo vizur sana lakini ni llama shule itself elim kwa walim namn ya kuitumia chuon naamin walim lazim wanasomq computer hata basic
Mbona limekaa km tangazo la biashara? Weka na bei km unauza na pia kumbuka kulilipia tangazo lako ili jf nayo ifaidike....View attachment 3137916ACADEMIAZSOFT: mfumo bora wa Uendeshaji wa Shule katika namna bora na ya kisasa
Hujambo ndugu mwana JF. Karibu AcademiazSoft. RAhisisha na kuboresha namna ya uendeshaji wa shughuli zako za kila siku shuleni kuwa kisasa zaidi. Mfumo wa wa kidigitali wa AcademiazSoft, unakupa fursa ya kufanya masuala yote yahusuyo uendeshaji wa shule yako katika platform moja iliyoboreshwa...www.jamiiforums.com
Karibu na hii ni biashara exactly mkuu wangu.Mbona limekaa km tangazo la biashara? Weka na bei km unauza na pia kumbuka kulilipia tangazo lako ili jf nayo ifaidike....
Kabisa.Hapo ni lazima awe anajaza kila tokeo linapotoka liwe la test, mid-term au annual yawepo kwenye excel sheet. Kazi yake iwe kujaza tu. anapo rundika lazima mzigo uwe mkubwa
Sio solutionShule zinunue mifumo ya teham ya kuwezesha kila mwalimu anaingia na kujaza mwenyewe!
Sio solutionNadhani kwa ushauri wizara husika ingetengeneza mfumo wa Tehama kwa ajili ya shule za msingi na secondari mfumo huu uwezeshe waalimu kurahisisha kazi zao ikiwemo:-
1. Manunuzi na bajeti
2. Kuandaa andalio la somo
3. Mahudhurio ya waalimu na wanafunzi shuleni
4. Kuchakata matokeo.
5. Mapato, matumizi
na usomani na mifumo kama vile wa Necta.
Na mengineyo
Haiwezekani kwenye ulimwengu wa sasa andalio la somo kwa mfano bado wanaenda kwa peni kwenye lile daftari la andalio la somo