Nifanyeje? Mama Ntilie ni mcheshi sana kupitiliza kwangu

Hizi tabia niza wanawake wa iringa wengi sana huwa na tabia za kuchekea chekea wateja hata Mimi lilisha nikuta hilo ila kiunzi nilikiruka baada ya kumalizana nae kitandani. Kwa sasa hatuchekeani kabisa ni wamee tu
Haha pole hakukupa ukimwi!
 
Efe 5:3-4
Lakini uasherati usitajwe kwenu kamwe, wala uchafu wo wote, wala kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu; wala aibu wala maneno ya upuzi wala ubishi; hayo hayapendezi...
 
Tumia akili dogo
 
Kosa hela siku moja mbili then nenda kwa mama ntilie Vipi anaendelea kukuchekea?
 
Tafuta uzi....
Soma hii....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…