Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajielewi.Oya mtafutieni mdogo wetu Django doer demu aache kutongoza dada zake
Andazi
mshamba_mwingine
mshamba_255
Mshamba wa kusini
Mwelekeze jinsi ya kutafuta mademu mitandao ya escort au hela hana?Hajielewi.
[emoji16][emoji23][emoji16]Habari wana JF mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 29 kazi yangu kubwa nimejiajiri kwenye mambo fulani fulani hivyo nafanya kazi home (nilipopanga).
Iko hivi kuna sehemu(mgahawa) huwa ninakula daily chakula cha mchana na usiku hapo . Hii ni baada ya Nourhan kugoma kunipa location ya anapouza chakula chake jijini hapa dsm. Sehemu hiyo ninayokula ina wahudumu mbali mbali lakini mkuu wa hapo ni mbibi na wahudumu ni vidada mbali mbali kama 3 wanaofanya kazi kwa round tofauti.
Kati ya hao wahudumu wa 3, wa 2 wameolewa 1 ana mtoto ila sijawahi kuona baba mtoto wake ndo huyo anayekuwa mcheshi sana kwangu hadi nimeshtuka [emoji848].
Jana nilitoka nikasepa town kufuatilia ishu zangu hivyo mchana na usiku sikula pale ambayo sio kawaida yangu. leo nimeenda mchana akaanza kucheka na kunichangamkia na kuniuliza mbona jana sikuwepo nilikuwa wapi na mambo kibao nikamjibu tu kiutani utani basi ikatoka hiyo
Kuna siku tulikutana mjini kama wapita njia akaanza kucheka kinoma mmmh mi nilishtuka lakini sikuonyesha ila nilishangaa tu kwanini anicheke kiasi kile basi kila mtu akaenda zake.
Sasa hii tabia yake inaninyegesha sana wakuu mfano nimekuwa nikimuwazia ngono na mambo ya kitandani muda wote yaani hapa nafikiria tu nikimtongoza akakubali alafu kwenye 6 * 6 sijui itakuwaje.
Pamoja na hayo wateja wengine anawachamgamkia ila mimi ni zaidi.
N.b wakuu naombeni mawazo yenu kati ya haya
1. Kwa sababu ana viashiria vya singo maza anataka mwanaume mjinga anase kwake ili ampige kizinga?
2. Ni tabia yake tu kuchekeachekea wanaume?
3. Ana kiumalaya?
4. Ametokea kunikubali na anataka nimtafune
Naombeni majibu na mawazo yenu wakuu
We mtoto[emoji16][emoji23][emoji16]
Mmmh Kuna ukurass umeuchana hapo😂em Sema kweliMrejesho. Ilikuwa ni njia yake ya kunasa wateja tu saivi kabadilika hayuko hivyo tena kwangu 😄😄
Ukurasa gani embu nitag 🙂😄Mmmh Kuna ukurass umeuchana hapo😂em Sema kweli
Team kataa ndoa29 unakula kwa mama lishe....?
HahahaMama ntilie ni wanawake wa mafundi mkuu.
Tafuta mwenye hadhi yako
Watu wenye umri wako huo hawawezi kuomba ushauri km huo! we unafikiri bado mtoto ndio maana akili zako zinakutuma utuandikie upuuzi humuHabari wana JF mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 29 kazi yangu kubwa nimejiajiri kwenye mambo fulani fulani hivyo nafanya kazi home (nilipopanga).
Iko hivi kuna sehemu(mgahawa) huwa ninakula daily chakula cha mchana na usiku hapo . Hii ni baada ya Nourhan kugoma kunipa location ya anapouza chakula chake jijini hapa dsm. Sehemu hiyo ninayokula ina wahudumu mbali mbali lakini mkuu wa hapo ni mbibi na wahudumu ni vidada mbali mbali kama 3 wanaofanya kazi kwa round tofauti.
Kati ya hao wahudumu wa 3, wa 2 wameolewa 1 ana mtoto ila sijawahi kuona baba mtoto wake ndo huyo anayekuwa mcheshi sana kwangu hadi nimeshtuka 🤔.
Jana nilitoka nikasepa town kufuatilia ishu zangu hivyo mchana na usiku sikula pale ambayo sio kawaida yangu. leo nimeenda mchana akaanza kucheka na kunichangamkia na kuniuliza mbona jana sikuwepo nilikuwa wapi na mambo kibao nikamjibu tu kiutani utani basi ikatoka hiyo
Kuna siku tulikutana mjini kama wapita njia akaanza kucheka kinoma mmmh mi nilishtuka lakini sikuonyesha ila nilishangaa tu kwanini anicheke kiasi kile basi kila mtu akaenda zake.
Sasa hii tabia yake inaninyegesha sana wakuu mfano nimekuwa nikimuwazia ngono na mambo ya kitandani muda wote yaani hapa nafikiria tu nikimtongoza akakubali alafu kwenye 6 * 6 sijui itakuwaje.
Pamoja na hayo wateja wengine anawachamgamkia ila mimi ni zaidi.
N.b wakuu naombeni mawazo yenu kati ya haya
1. Kwa sababu ana viashiria vya singo maza anataka mwanaume mjinga anase kwake ili ampige kizinga?
2. Ni tabia yake tu kuchekeachekea wanaume?
3. Ana kiumalaya?
4. Ametokea kunikubali na anataka nimtafune
Naombeni majibu na mawazo yenu wakuu
Haya majitu yapo Hadi kwny serikali yetu yameteuliwa ama kuajiriwa na bado mawazo finyu namna hiiiiii!Miaka 29 lakini akili kama za Mwanaume wa miaka 19...Grow up Man
pumbavu nani sasa? wewe au?Pumbavu
Acha kuwaza uzinziHabari wana JF mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 29 kazi yangu kubwa nimejiajiri kwenye mambo fulani fulani hivyo nafanya kazi home (nilipopanga).
Iko hivi kuna sehemu(mgahawa) huwa ninakula daily chakula cha mchana na usiku hapo . Hii ni baada ya Nourhan kugoma kunipa location ya anapouza chakula chake jijini hapa dsm. Sehemu hiyo ninayokula ina wahudumu mbali mbali lakini mkuu wa hapo ni mbibi na wahudumu ni vidada mbali mbali kama 3 wanaofanya kazi kwa round tofauti.
Kati ya hao wahudumu wa 3, wa 2 wameolewa 1 ana mtoto ila sijawahi kuona baba mtoto wake ndo huyo anayekuwa mcheshi sana kwangu hadi nimeshtuka 🤔.
Jana nilitoka nikasepa town kufuatilia ishu zangu hivyo mchana na usiku sikula pale ambayo sio kawaida yangu. leo nimeenda mchana akaanza kucheka na kunichangamkia na kuniuliza mbona jana sikuwepo nilikuwa wapi na mambo kibao nikamjibu tu kiutani utani basi ikatoka hiyo
Kuna siku tulikutana mjini kama wapita njia akaanza kucheka kinoma mmmh mi nilishtuka lakini sikuonyesha ila nilishangaa tu kwanini anicheke kiasi kile basi kila mtu akaenda zake.
Sasa hii tabia yake inaninyegesha sana wakuu mfano nimekuwa nikimuwazia ngono na mambo ya kitandani muda wote yaani hapa nafikiria tu nikimtongoza akakubali alafu kwenye 6 * 6 sijui itakuwaje.
Pamoja na hayo wateja wengine anawachamgamkia ila mimi ni zaidi.
N.b wakuu naombeni mawazo yenu kati ya haya
1. Kwa sababu ana viashiria vya singo maza anataka mwanaume mjinga anase kwake ili ampige kizinga?
2. Ni tabia yake tu kuchekeachekea wanaume?
3. Ana kiumalaya?
4. Ametokea kunikubali na anataka nimtafune
Naombeni majibu na mawazo yenu wakuu
niombe msahama uwezi kunitoa akili wewe na mawazo yako hayo!Huna akili
kuna Uzi humu umetoka kujadili watu wenye IQ ndogo ufuatilie utakuja kunambia kijanaIdiot