Nifanyeje? Mama Ntilie ni mcheshi sana kupitiliza kwangu

Nourhan umeona upumbavu uliosababisha!

Nakuambia walai hatujamalizana mimi na ww ntakusaka hadi nikupate dsm ni ndogo sana na ninafahamu Gily Gru anaishi manyanya ntaanza naye kabla sijamalizana na ww.

😏
 
Boxer bei rahisi vuzi kipipili kapauka kende hapaki hata mafuta 😂🤣atamtaka nani akwende huko nyoka kifutu sio type zangu hizo sifa moja kwa mwanaume ni usafi nje ndani awe smart
Kwaiyo unanidharau sio?

Alafu ile ni picha tu niliipiga vibaya ila vuzi nilinyoa sema ndo hivyo quality ya picha ni mbaya tu
 
Mwambie aanze kukununia, hapo utapona
 
Nourhan umeona upumbavu uliosababisha!

Nakuambia walai hatujamalizana mimi na ww ntakusaka hadi nikupate dsm ni ndogo sana na ninafahamu Gily Gru anaishi manyanya ntaanza naye kabla sijamalizana na ww.

😏
Akili za mashoga hua zipo hivyo, wanafikiri ni rahisi kumpata mtu kama unavyopata mabasha narudia use common sense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…