Shida ya nini?? Hebu tafuta nyundo uporomoe yoote hutokaa uulize swali hili. (natania)
Kuna tofauti 2.
Kwanza ni meno yanayo toboka au kulika,
na pili Meno yanyokua Njano.
Swala la njano ni la madini ya eneo ulilopo, na kuoza meno ni usafi binafsi.
AKSANTE.