Nifanyeje nikichelewa kukata Rufaa ya kesi?

commentor

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2014
Posts
579
Reaction score
503
Mimi kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nilichelewa kupokea nakala ya hukumu ya kesi yangu. Zimenifikia muda wa rufaa ukiwa umepita. Je naweza kufanya taratibu zipi ili kumudu kukata rufaa?
 
Mimi kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nilichelewa kupokea nakala ya hukumu ya kesi yangu. Zimenifikia muda wa rufaa ukiwa umepita. Je naweza kufanya taratibu zipi ili kumudu kukata rufaa?
Nenda kwa mwanasheria akuombee "leave of the court" ambayo itaonyesha sababu za kutokata rufaa mapema. Mahakama ikiridhia sababu zako utaruhusiwa.
 
Kuna sheria inaitwa law of limitations, mara baada tuu ya hukumu kutolewa, ulitakiwa kuonyesha nia ya kukata rufaa na kabla muda wa kukata rufaa haujakwisha ndipo ulipaswa kuomba leave of the court for extension ya time ya ku log hiyo appeal na kutoa hizo sababu.

Kama tangu mwanzo, hukuonyesha nia yoyote kukata rufaa mpaka muda umepita, imekula kwako, unless kwenye maombi yako ya nakala ya hukumu tangu mwanzo, ulieleza kwa maandishi lengo hilo la kuomba nakala ya hukumu ili ukate rufaa, tarehe labda zitakusaidia kuithibitisha hiyo nia, ila kesi yoyote inapokia uamuzi wa kukata rufaa, ni lazima utumie mwanasheria, he/she should have known better!.

Pole.
Pasco.
 



Loh! Nimejifunza kitu hapa....Asante Pasco. Na kama hukujua hukumu ni lini na siku unaletewa nakala ya hukumu ikawa tayari muda umepita hiyo nayo ikoje?
 
unatakiwa kuwasilisha maombi maalum-chamber summons supported with an affidavit seeking leave of the court to appeal out of time, the chamber summons contains the section of the law and your prayers to the court,affidavit contaons the ground/reasons for your delay.make sure the reasons are as solid as possible
 
siku ambayo utapokea nakala ya hukumu,itapigwa muhuri,saini na tarehe ya siku hiyo,siku za kukata rufaa zitaanzwa hesabiwa from tht date on the judgement
 
Naomba kuuliza,hivi nakala ya hukumu unaifuata mahakamani au mtu anaweza kukuletea popote ulipo?
 
Loh! Nimejifunza kitu hapa....Asante Pasco. Na kama hukujua hukumu ni lini na siku unaletewa nakala ya hukumu ikawa tayari muda umepita hiyo nayo ikoje?


Asante sana mkubwa Pasco.. kumbukumbu yangu kama sijakosea case iliyotengeneza hii principle ni case ya Rondell V. W (1966) 3 ALL E.R.657
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…