Nifanyeje,nipate mtoto?

Nifanyeje,nipate mtoto?

Rajasili

Senior Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
117
Reaction score
10
Wadau,mchumbangu mara nyng Ana Bleed Tarehe 15,na huwa anachukua cku 2 hadi 3 tu,so nifanyeje ili niweze kupata mtoto kwa urahisi? naomba mnifafanulie wataalam.
 
Sio vizuri kuzaa watoto nje ya ndoa, subiri utakapokuwa tayari kuoa utapewa mafundisho yote muhimu.
 
Sijaona tatizo...subiri siku kumi baada ya kumaliza then zidisha mashambulizi.....
 
We umekulia kwenye box nini. Hata ng'ombe hafundishwi hii kitu wewe unatuuliza sisi? Subiri ukikua utajua tu!
 
Mkuu,
Kwa namna ulivyoandika, natilia shaka umri wako...la hasha zunguka hapa JF Doctor kuna threads nyingi tu zielezeazo habari ya mimba na watoto.

Wadau,mchumbangu mara nyng Ana Bleed Tarehe 15,na huwa anachukua cku 2 hadi 3 tu,so nifanyeje ili niweze kupata mtoto kwa urahisi? naomba mnifafanulie wataalam.
 
Mh?kwan Jaman Hata Km Cjaoa Sistahili Kupata Mtoto?
 
Akimaliza bleed uendelee kula mzigo tu
mambp yatajipa kwa ulaini
 
Back
Top Bottom