kwan ww boss ni mshabiki wa timu gan ngoja tuanze na hilo.. kisha kama ww mshabiki wa arsenal bora endelea hvyo hvyo kutoupenda ukija kupenda na tim yako pasua kichwa hyo arsenal utapata ugonjwa wa moyo bure ww endelea kupenda movie na music vitu vya recorded lakn mpira kitu cha live bira chenga
Uwe una BETWakuu habarini, huwa naona watu wakishangilia kwa furaha wengine hata kula Hawali kisa mpira nifanyeje niupende mpira
Wewe jamaa umeandika vile nilivyoWala usihangaike mkuu.kuna kitu kinaitwa hobbies,hiki kitu huwa hakilazimishwi.binafsi kama wewe nilijitahidi sana kutaka kuupenda huu mchezo but wapi,nakesha nikiangalia match kubwa zote za timu zinazopendwa sana mitaani ila hakuna lolote nililovuna.yaani ilikuwa mechi ikiisha nusu saa tu ukiniuliza kilichokuwa kinaendelea uwanjani sijui hata nijibu nini mwisho nikakubali kwamba hobbies yangu ni kuangalia movie na kusikiliza muziki{sio kwenda club}nasikiliza tu home na huwa na-enjoy kweli kweli yaani hunitoi hapo.
Wala hupo peke yako ndugu, tupo wengi tu. Nimefanya kila mbinu but nimeshindwa. In short starehe yangu ni vitamin music na vitamin movies.Wakuu habarini, huwa naona watu wakishangilia kwa furaha wengine hata kula Hawali kisa mpira nifanyeje niupende mpira
Fanya amka asubuhi tafuta mpira wa doso anza na danadana kisha kupigiana ,gombania goli,cheza funga duka ,one touch lazima utapata raha hapo sasa ukishakukolea hamia kwenye jabulani mtafute iconic star wako umuangalie anafanyaga nn na ww ufanye hivyo hapo utaupenda maana huwez kupenda kitu usichokiweza kukifanyaWakuu habarini, huwa naona watu wakishangilia kwa furaha wengine hata kula Hawali kisa mpira nifanyeje niupende mpira
mpira nilikuwa nikicheza Sana nikiwa kijana mdogo , tulikuwa tukicheza mipara ya kufuma na kamba na kucheza danadana Lakin nashindwa kuelewa sipendelei kuutazamaFanya amka asubuhi tafuta mpira wa doso anza na danadana kisha kupigiana ,gombania goli,cheza funga duka ,one touch lazima utapata raha hapo sasa ukishakukolea hamia kwenye jabulani mtafute iconic star wako umuangalie anafanyaga nn na ww ufanye hivyo hapo utaupenda maana huwez kupenda kitu usichokiweza kukifanya
Hujaumbwa ufanye kila kitu chini ya jua,wala ujue kila kitu chini ya mbingu.km huna hobby basi acha tu maana angalia kusudi.ukilazimisha kuingia huoko utakufa utawaacha wanashangilia wale ulio wakutaWakuu habarini, huwa naona watu wakishangilia kwa furaha wengine hata kula Hawali kisa mpira nifanyeje niupende mpira
Usije ukamshauri ashangilie arsenal.dah kweli unakosa raha.. michezo inapunguza sana stress hata kama huichezi kuishangilia tu raha...
Achana na hiyo kitu ni ulevi wa hatariWala usihangaike mkuu.kuna kitu kinaitwa hobbies,hiki kitu huwa hakilazimishwi.binafsi kama wewe nilijitahidi sana kutaka kuupenda huu mchezo but wapi,nakesha nikiangalia match kubwa zote za timu zinazopendwa sana mitaani ila hakuna lolote nililovuna.yaani ilikuwa mechi ikiisha nusu saa tu ukiniuliza kilichokuwa kinaendelea uwanjani sijui hata nijibu nini mwisho nikakubali kwamba hobbies yangu ni kuangalia movie na kusikiliza muziki{sio kwenda club}nasikiliza tu home na huwa na-enjoy kweli kweli yaani hunitoi hapo.