Nilifanya hivyo..ili kumfanya mwananngu achanganyike wenzake...nilinunua mipira na baiskeli..so ikawa inawafanya watoto wengi wa mtaani kuja kucheza kwangu..ikifikia wakti almost watoto wa mtaa mzima wanakuja kwamgu kucheza...kutokana na kelele na fujo majirani wakaanza maneno maneno..nikaamua kuanza kuwapiga stop..kwa kifupi majirani ishi nao kistaa..kwasasa hv nahisi ni baba nayefahamika kuliko wababa wote mtaani..maana sijui nipite wapi bila watoto kuniitaWanunulie wanao wa kiume mpira itafanya kuzoeana na watoto wa jiran na ndio mwanzo wa wazaz kufahamiana
Weekend moja vaa shanga kiunoni Kisha tembea utupu nyumba moja baada ya nyingine kujitambulisha.Tangu nimehamia hapa mtaani ni takribani mwaka sasa umekatika. Mtaa ninaoishi ni nje kidogo ya mji ambapo watu wamejenga nyumba zao wamezungusha fensi na mageti. Pia wengi (pamoja na mimi) ni wafanyakazi ambapo mara nyingi ni watu wa kutoka asubuhi na kirudi jioni wakiwa ndani ya magari yao.
Sasa leo nimekaa nikatafakari, nikagundua kuwa zaidi ya majirani niliopakana nao upande wa kushoto na kulia, hakuna jirani mwingine ambaye walau hata namjua kwa jina. Hakuna mawasiliano ya aina yoyote kati yangu na majirani zangu, hakuna tukio lolote linalotukutanisha, na hata ikitokea mtu akapata tatizo, sidhani kama kuna mtu atajitokeza kusaidia.
Mimi naona kama hii hali sio nzuri ila nashindwa kujua nifanyeje ili kujenga ujirani mwema, hasa kwa hawa majirani wa mbali kidogo nyumba ya tatu ya nne huko?
Kuna jamaa mmoja nadhani ni mgeni kwenye eneo hili, yeye amejijengea utaratibu wa kugawa pipi kwa watoto wa mtaa mzima. Mwaka unaende kukatika sasa lakini amekuwa maarufu kwa watoto wa mtaani na hata mitaa mingine ya jirani. Kwenye begi lake anatembea na fuko la pipi akiwagawia watoto kila anapowaona.... Ukisikia Babuu!.. Babuu!... ujue tu anafanya shughuli yake ya kukusanya watoto kama mpiga filimbi wa Hamelin.Njia rahisi ni kutembelea vijiwe ambavyo unadhani utakutana nao! Kama kuna Car wash mtaani jimix hapo weekend nunulia vijana soda mpige soga! Kama kuna ka duka mahali unaweza pata hata mtindi ukawa unapiga piga story na watu maeneo hayo! Kama ni mtu wa dini jiunge na jumuiya uwe unakutana na wenzio kila weekend.
Jamaa mbunifuKuna jamaa mmoja nadhani ni mgeni kwenye eneo hili, yeye amejijengea utaratibu wa kugawa pipi kwa watoto wa mtaa mzima. Mwaka unaende kukatika sasa lakini amekuwa maarufu kwa watoto wa mtaani na hata mitaa mingine ya jirani. Kwenye begi lake anatembea na fuko la pipi akiwagawia watoto kila anapowaona.... Ukisikia Babuu!.. Babuu!... ujue tu anafanya shughuli yake ya kukusanya watoto kama mpiga filimbi wa Hamelin.
Dah! Nimeishiwa maneno!Tafuta mke wa jirani yako mtie mimba,utafahamika ghafla.!
Mbaya sana majambazi wakikuingilia?[emoji848]Kind of life I like
Pambana mkuu utoe toe salamu upate namba, ucoment status zao na mtajikuta mmezoeana.
Ila kwa upande wangu nachagua kujitenga
Hii ni kweli ni zaidi ya hatari...Kuna mmoja alikuwa hasalimii majirani zake siku yuko kazini nyumba ikapata shot ikaungua na watoto na housegirl wakafia ndani majirani walimuteMkuu kama wewe ni mkristu jitahidi uwe unasali jumuiya na kwenda church huko utafahamiana na baadhi ya majirani zako mnaosali pamoja.
Pia jitahidi uwe unahudhuria shughuli za kijamii za mtaani kwako kama misiba au hata sherehe za harusi,kipaimara,kumunio zinazotokea hapo mtaani unapoishi.lazima tu utafahamiana na majirani zako.
Pia siku ukiwa off jitahidi utumie hata mda mchache kujimix mtaani,kama kufanya manunuzi kwenye maduka ya mtaani unapoishi, kaa kwenye vigrocery vya mtaani unywe hata Maji Kama sio mtumiaji wa alcoholic drinks, jitahidi uwe unakaa hata kwenye vijiwe vya mtaani sikumojamoja na pia uwe unasalimia watu wa mtaani hata Kama unagari na pia uwe unawapa lift ukikutana nao.
Kibongobongo ni hatari sana unapoishi bila kufahamu majirani zako.
Jirekebishe haraka
Unajitenga kwasababu ni mchawi... Mtanzania halisi hawezi jitenga.. Wachawi tuu ndio wanajitengaKind of life I like
Pambana mkuu utoe toe salamu upate namba, ucoment status zao na mtajikuta mmezoeana.
Ila kwa upande wangu nachagua kujitenga
Wagongee uwasalimie utakuwa umeondoa ile kuwa unajidaiNashukuru mkuu, hili na mimi nimeliona sema sasa changamoto ni jinsi ya kujizoesha kwa watu usiowafahamu. Ningekua mtu wa ulabu labda ingesaidia maana wengi ningekutana nao ila sasa mimi ni mzee wa nyuki.
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwa kuwa wengi wenu wamezungishia fence nyumba zao (hata nahisi ni fence za kuta) basi jitoe Muhanga siku moja wewe simama nje ya fence ya nyumba yako..kila jirani akipita kwenye gari yake mpungie mkono na kumsalimia kwa sauti..fanya hivyo kama wiki nzima hivi watakuzoea maana hiyo kwao itakuwa kitu cha ajabu na pekee lakini ndio itauwa brand/identity yako hapo mtaani...watakuita "yule jamaa mpungia mkono" hahahaah!
Hivi ni kwa niniWengi wetu ukiwa na hela kidogo tu, unajikuta utaki mazoea na watu kiburi na majivuno vinatujaa akilini.
Tuishi na watu vizuri salam jambo la heri.