Nifanyeje nizoeane na majirani?

Nifanyeje nizoeane na majirani?

Kwa kuwa wengi wenu wamezungishia fence nyumba zao (hata nahisi ni fence za kuta) basi jitoe Muhanga siku moja wewe simama nje ya fence ya nyumba yako..kila jirani akipita kwenye gari yake mpungie mkono na kumsalimia kwa sauti..fanya hivyo kama wiki nzima hivi watakuzoea maana hiyo kwao itakuwa kitu cha ajabu na pekee lakini ndio itauwa brand/identity yako hapo mtaani...watakuita "yule jamaa mpungia mkono" hahahaah!
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe sijui ni wangapi.. Unatoa ushauri huu wa jumuiya.. Upo sahihi kabisa kabisa.. Jumuiya ni kitu muhimu sana sana.. Nimepitia situation za kuhamia mitaa ya vigogo aisee kabla sijajiunga jumuiya nilijuta kuishi huko. Ila baada ya kujiunga mimi ndie m.kiti wao.. Haijalishi mavyeo yao Serikalini au wapi? Maisha yamekuwa mazuri yenye amani na mshikamano mkubwa.

Walioanzisha jumuiya aisee. Mungu asiwasahau katika ufalme wake.
Jumuiya ya wazazi au
 
Panga matukio ya kujumuika pamoja kisha uwaalike majirani zako, kitu kama birthday yako au watu wa karibu, wakaribishe kwako muangalie pamoja luninga ili mzoeane, hayo ndio maisha ya wenzetu kule mbele.
Kuangalia luninga pamoja😃😃😃 ya zamani kweli hii sasa hivi ukiwasha TV watu wanawasha simu zao wanaona unawayeyusha tu unakuta Jirani ana Dstv analipa kile cha juu mpaka kurekodi anaona unamyeyusha tu.

Achinje mbuzi aalike majirani aweke na bia kadhaa then wengine wake na bottles zao.
 
Watu pekee ambao wanazoeana na kuelewana kwa haraka ni wanywa pombe,kwani maeneo ya jirani hakuna sehemu ya burudani?
 
Huko hakuna balozi wala mwenyekiti wa mtaa!
 
Nadhani watu wengi hawajagundua hili au hawajijui.
Nilichogundua ni watu wengi wabinafsi na wanataka kunyenyekewa.

Mfano wewe unasuffer na roho yako pia kuhangaika kutengeza ujirani na salamu.
Je umejiuliza kwanini wao mpaka leo hii hawajaja kukusalimia?
Kwanini wao ndani ya muda wote wasianze wao uanze wewe?

Majibu yako mengi ila kukusaidia ni labda kwa sababu hawagive a damn about ujirani wala salamu.

Mfano mimi kwenye shida naweza kusaidia mtu yoyote ambaye simjui ila shida ikitokea kwako kwa sababu hawakujui trust me hakuna mtu atakusaidia.

Majirani sio solution ya matatizo unayoyafikiria.
Ni kama Murphy's law.

Murphy's law inamaanisha "anything that can go wrong will go wrong".
Lakini hiyo siyo maana pekee bali pia inamaanisha"chochote kinachoweza kutokea lazima kitatokea" na hutoweza kukizuia.

Strange thing ni watu wengi wanadhani kuwa na majirani ndio itaweza kuprevent bad things au kusaidiwa pale kitu kibaya kitakapotokea, which is wrong and impossible.

Na hiyo inapelekea ile definition ya "Uoga wa Maisha" kuwa applied on this circumstance. It's like the act of seeking security.

Na hiyo ndio sababu kubwa ya watu wengi kutafuta majirani kwa ulazima.
Na wengine wakishauri hivyo kwenye hii thread

Naamini ujirani hauwezi kuwa created deliberately bali ni kama nature's coincidence.
Na kulazimisha itepeleka baadae kukosana au kuonekana mnafiki na kero kwa wengine na hali itakuwa mbaya zaidi.

Personally mtu huyo ningemuona irritative.
Lakini sisi binadamu ni tumetofautiana so it depends.

Sidhani kama umewahi kuishi nje ya africa lakini ungepata tabu kuishi USA sababu asilimia kubwa ya watu ni minding your own business.

Bytheway hiyo ilikuwa opinion yangu even though it's a Fact.
[emoji817]% sahihi
 
Hamna kagrocery hapo karibu? Au mtaa mzima sio wanywaji......wanywaji huwa wanazoeana fasta sana😆
 
Ni bora kabisa kujitenga. Kadri unavyokuwa mbali na wengi,ndivyo unavyokaa mbali na matatizo. Kadri unavyokuwa na marafiki wengi ndivyo unavyokaribia kupata matatizo mengi
Hiyo ni hatari,usalama wako na familia yako ni muhimu sana,hakuna eneo salama siku hizi, jirani yako ni mtu muhimu kuliko kuogopa kuombwa chumvi.
 
Mchawi siku zote hupenda kujichanganya na watu ili apate misukule kirahisi.Majirani stukeni.
 
Tangu nimehamia hapa mtaani ni takribani mwaka sasa umekatika. Mtaa ninaoishi ni nje kidogo ya mji ambapo watu wamejenga nyumba zao wamezungusha fensi na mageti. Pia wengi (pamoja na mimi) ni wafanyakazi ambapo mara nyingi ni watu wa kutoka asubuhi na kirudi jioni wakiwa ndani ya magari yao.

Sasa leo nimekaa nikatafakari, nikagundua kuwa zaidi ya majirani niliopakana nao upande wa kushoto na kulia, hakuna jirani mwingine ambaye walau hata namjua kwa jina. Hakuna mawasiliano ya aina yoyote kati yangu na majirani zangu, hakuna tukio lolote linalotukutanisha, na hata ikitokea mtu akapata tatizo, sidhani kama kuna mtu atajitokeza kusaidia.

Mimi naona kama hii hali sio nzuri ila nashindwa kujua nifanyeje ili kujenga ujirani mwema, hasa kwa hawa majirani wa mbali kidogo nyumba ya tatu ya nne huko?
Uungwana ni vitendo. Siku za weekend pita kwenye nyumba jitambulishe kwamba wewe ni jirani yao upo nyumba namba Fulani let them know you it will help for the future.
Live with your neighborhood closely they will also help you one unknown day
 
Si ajabu wanazo habari zako zote, wadada wanazoeana haraka sana wao kwa wao.
 
Tangu nimehamia hapa mtaani ni takribani mwaka sasa umekatika. Mtaa ninaoishi ni nje kidogo ya mji ambapo watu wamejenga nyumba zao wamezungusha fensi na mageti. Pia wengi (pamoja na mimi) ni wafanyakazi ambapo mara nyingi ni watu wa kutoka asubuhi na kirudi jioni wakiwa ndani ya magari yao.

Sasa leo nimekaa nikatafakari, nikagundua kuwa zaidi ya majirani niliopakana nao upande wa kushoto na kulia, hakuna jirani mwingine ambaye walau hata namjua kwa jina. Hakuna mawasiliano ya aina yoyote kati yangu na majirani zangu, hakuna tukio lolote linalotukutanisha, na hata ikitokea mtu akapata tatizo, sidhani kama kuna mtu atajitokeza kusaidia.

Mimi naona kama hii hali sio nzuri ila nashindwa kujua nifanyeje ili kujenga ujirani mwema, hasa kwa hawa majirani wa mbali kidogo nyumba ya tatu ya nne huko?
Andaa mkutano wa ujirani mwema, ukimpata mmoja atakusaida namba ya mtu mwingine. Mara nyingi kuna watu wanakuwa na mawazo kama yako lakini kama hayupo wa kulianza inakuwa shida.
Hata kwetu tulianza kwa jinsi hiyo.Sasa hivi karibu majirani wote tunafahamiana.
Tulikutana kwa mtu na kununua soda tukanywa tukazidi kupeana taarifa.
Mpate mmoja mshirikishe naye atakupa jina la mwingine. Andaa ujumbe wa mwaliko pendekeza sehemu ya kukutana.

Wàalike siku moja kwa chakula kama majirani wa karibu.
 
Back
Top Bottom