Nifanyeje nizoeane na majirani?

Itakuwa unamiliki kiberiti mkuu...maana watu wenye kiberiti wanajulikana sana[emoji848]
 
Sasa yeye si kajimix, ila hili tatizo hata mie ninalo siwezagi kuzoeana na watu kizembe wa mtaani! Sipendagi tu yale mazoea ya kujuana juana sana
Kama mimi inaniwia vigumu mnoo...sema ndugu zangu niko nao mtaa mmoja

Kwa majirani nimebagua kuna mmoja huyo mmama anajifanyaga ananijuuua kila mtu anampa habari zangu, nikamfungia vioo mwaka wa nne huu...wengine tunapeana hi tu
 
Tofauti na huko mbele, huku kwetu ukimkaribisha jirani kwako pamoja na kufaidika kwa fadhira zako, anatumia ku-scan nyumba yako nje ndani baada ya siku kadhaa unapata ugeni wa majambazi usiku mwigi.😀
Kabisa[emoji848]
 
Kama mimi inaniwia vigumu mnoo...sema ndugu zangu niko nao mtaa mmoja

Kwa majirani nimebagua kuna mmoja huyo mmama anajifanyaga ananijuuua kila mtu anampa habari zangu, nikamfungia vioo mwaka wa nne huu...wengine tunapeana hi tu
Una raha kukaa mtaa mmoja na ndugu zako
 
Ila pia kuzoeana kwa mtindo huo ni hatari sana...yaan we unaona unaongea nao fresh nini sijui kumbe mtu anakuchora anataka akujue weakness na strengths zako akugeuze asusa...humo humo kwenye majirani kuna majambazi ujue[emoji848]
 
Ila pia kuzoeana kwa mtindo huo ni hatari sana...yaan we unaona unaongea nao fresh nini sijui kumbe mtu anakuchora anataka akujue weakness na strengths zako akugeuze asusa...humo humo kwenye majirani kuna majambazi ujue[emoji848]
Heheheh ndio nasema usiruhusu mazoea yaliopitiliza wala usifungue mafaili yako! Wawe wanakuona tu, ishi nao vizuri tu!
 
mi majiran niliwajua baada ya kwenda jumuiya. then kanisan coz enz hzo waumin tuko wachache basi ilibid tujuane.
 
Sasa unavyocheka cheka nao ni lazima watajua unafanya kazi wapi, lazima utaropoka tu mambo yako...badae ndo utajua hujui

Kumsalimiana kunatosha asee[emoji848]
 
Kuogopana ninakozungumzia ndio ile ukikaribisha jirani ataleta wezi,mara utalogwa,wataleta dharau yaani binadamu tunaogopana sana
Lakini kibongo huu ndo ukweli..wezi anakuletea kweli na kukuloga atakuloga oooohoo[emoji849]
 
Sasa unavyocheka cheka nao ni lazima watajua unafanya kazi wapi, lazima utaropoka tu mambo yako...badae ndo utajua hujui

Kumsalimiana kunatosha asee[emoji848]
Hahahah ndio si kutafuta kuonekana jirani mwema tu😅 ! Mie siwezi ila nawashauri wanaoweza tu wafanye hivyo maana dah! Mie naweza kukaa ndani hata siku 2 bila kutoa unyayo nje as long as huduma zote nazipata frijini, jikoni na chooni😅 kukaa vijiweni ni very rare case labda nikakae mbali sana na home! Na ndio maana JF is my first kijiwe
 
Jirani kukusema kujifanya anakujua kuliko hata unavyojijua hii ndo tabia yao kuu...

Mimi huyu ananitangaza naringa najifanya special siku nikifa ntazikwa na nani khaaaa[emoji848]

Simpendi asee ndo maana mchafu[emoji57]
 
Ukweli mtupu[emoji122]
 
Jirani kukusema kujifanya anakujua kuliko hata unavyojijua hii ndo tabia yao kuu...

Mimi huyu ananitangaza naringa najifanya special siku nikifa ntazikwa na nani khaaaa[emoji848]

Simpendi asee ndo maana mchafu[emoji57]
Umemmaindi sana dah,,, sema ndio hivyo mie mwenyewe nahisi kuna watu watakuwa wanahisi ninaringa ila mie sina habari! Sifa nilionayo tu kitaa wanajua mie sio kicheche 😅😅😅 na kijana mpole sana
 
Huyo Mtume Muhammad unaemsema amehusia Sana watu waishi kwa wema na akazitaja had haki za jirani kwa jirani mwenzake
Kama husalimii majiran na unajitenga nao ww bado humfati Muhammad (S.A.W)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…