Nifanyeje sex hainisisimui kama zamani

Nifanyeje sex hainisisimui kama zamani

PSL god

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2023
Posts
8,435
Reaction score
6,476
Sijui siku hizi nimekuwaje wakuu.

Yaani ngono hainipi ule utamu niliokuwa naupata zamani kwanzia 2023 kurudi nyuma yaani kwanzia mwezi wa 10 hadi huu wa 11 nimesex mara 22 lakini niliyoifurahia ni hizo 1-4 basi kwanzia 5-22 ile raha ya mshindo na mwili kusisimka sina kabisa asee sasa sijui ni mwili kuzoea hili tendo au ni nn sijui hata

Usiku huu nimepiga kimoja ila sijasisimka kiivyo yaani ni kawaida tu kwangu ubaya wa hii hali inataka nitafute kitu kingine kitachakonipa furaha(dopamine) japo situmii pombe au sigara. sijui ni kitu gani kitanipa raha tena!

Naombeni ushauri wanaume wenzangu hili lishawahi kukutokea?
20241104_135650.jpg
 
Mwezi wa 10-11 imesex mara 22, umeoa? hata chakula ukizidisha kina jinai, ngono ukizidisha uzito unapungua.

Na hiyo mara 22 ni kwa mwanamke mmoja??
 
Sijui siku hizi nimekuwaje wakuu.

Yaani ngono hainipi ule utamu niliokuwa naupata zamani kwanzia 2023 kurudi nyuma yaani kwanzia mwezi wa 10 hadi huu wa 11 nimesex mara 22 lakini niliyoifurahia ni hizo 1-4 basi kwanzia 5-22 ile raha ya mshindo na mwili kusisimka sina kabisa asee sasa sijui ni mwili kuzoea hili tendo au ni nn sijui hata

Usiku huu nimepiga kimoja ila sijasisimka kiivyo yaani ni kawaida tu kwangu ubaya wa hii hali inataka nitafute kitu kingine kitachakonipa furaha(dopamine) japo situmii pombe au sigara. sijui ni kitu gani kitanipa raha tena!

Naombeni ushauri wanaume wenzangu hili lishawahi kukutokea?
View attachment 3144750
Fanya mambo mengine,
Jaribu kilimo cha Maparachichi,
Au nenda katoa misaada kwa wenye uhitaji,nafsi yako itafarijika sana,unaonekana una stress.
 
Back
Top Bottom