Nifanyeje sex hainisisimui kama zamani

Nifanyeje sex hainisisimui kama zamani

Mwezi wa 10-11 imesex mara 22, umeoa? hata chakula ukizidisha kina jinai, ngono ukizidisha uzito unapungua.

Na hiyo mara 22 ni kwa mwanamke mmoja??
Sijaoa mkuu hiyo ni kwa wanawake tofauti tofauti
 
Mkuu hilo ni swala la kawaida sana hasa kama umeshafanya mapenzi mara nyingi,

Cha kufanya hapo ni kutafuta pesa halafu sasa kachukue mwanamke ambaye anakuvutia zaidi na ufanye nae mambo ambayo yanakuvutia zaidi, Yaani Your fantasies
 
Mkuu hilo ni swala la kawaida sana hasa kama umeshafanya mapenzi mara nyingi,

Cha kufanya hapo ni kutafuta pesa halafu sasa kachukue mwanamke ambaye anakuvutia zaidi na ufanye nae mambo ambayo yanakuvutia zaidi, Yaani Your fantasies
Asante kwa ushauri
 
Nenda Hospitali ukacheki Afya.
Ninafikiria kufanya hivyo chief. Japo physically sioni kama ni dalil zozote za kuwa mgonjwa 😂
Hiyo ya kula j4 na alhamis mara 1, ni kutokana kwamba Mwez July we had church fasting and prayers program sasa toka tumemaliza nimejikuta am living that way till now. And am comfrtable tu.
But nitakwenda kuchek afya pia
 
Sijui siku hizi nimekuwaje wakuu.

Yaani ngono hainipi ule utamu niliokuwa naupata zamani kwanzia 2023 kurudi nyuma yaani kwanzia mwezi wa 10 hadi huu wa 11 nimesex mara 22 lakini niliyoifurahia ni hizo 1-4 basi kwanzia 5-22 ile raha ya mshindo na mwili kusisimka sina kabisa asee sasa sijui ni mwili kuzoea hili tendo au ni nn sijui hata

Usiku huu nimepiga kimoja ila sijasisimka kiivyo yaani ni kawaida tu kwangu ubaya wa hii hali inataka nitafute kitu kingine kitachakonipa furaha(dopamine) japo situmii pombe au sigara. sijui ni kitu gani kitanipa raha tena!

Naombeni ushauri wanaume wenzangu hili lishawahi kukutokea?
View attachment 3144750
Badilisha demu au jaribu kula tigo mwanawane 🤣🤣🤣🤣
 
Sijui siku hizi nimekuwaje wakuu.

Yaani ngono hainipi ule utamu niliokuwa naupata zamani kwanzia 2023 kurudi nyuma yaani kwanzia mwezi wa 10 hadi huu wa 11 nimesex mara 22 lakini niliyoifurahia ni hizo 1-4 basi kwanzia 5-22 ile raha ya mshindo na mwili kusisimka sina kabisa asee sasa sijui ni mwili kuzoea hili tendo au ni nn sijui hata

Usiku huu nimepiga kimoja ila sijasisimka kiivyo yaani ni kawaida tu kwangu ubaya wa hii hali inataka nitafute kitu kingine kitachakonipa furaha(dopamine) japo situmii pombe au sigara. sijui ni kitu gani kitanipa raha tena!

Naombeni ushauri wanaume wenzangu hili lishawahi kukutokea?
View attachment 3144750
Kufanya ngono unalazimishwa....
Wewe tumia we*d utanishukuru kuinjoi tu
 
Back
Top Bottom