nunua gari kisha tafuta demu mkali kuliko yeye, pia acha kwenda sehemu ulizokuwa ukienda nayeJamani nilikuwa na mchumba wangu siku si nyingi zilizo pita lakini siku zilivyo endelea mbele nikaja kugundua sio mwaminifu kwangu nikimuuliza swala lolote lile anakuwa mkali na kuniambia eti nisimchangaye kwani kuna wanaume wangapi leo nika jitutumua na kwumwambia kuanzia leo tuachane akaitikia kwa upole nika ondoka lakini roho inaniuma na mimi nachotaka ni kumsahau na kuchukulia kitu cha kawaida na shidwa nifanyeje kupunguza hizi stress msaada jamani kaka zangu na dada zangu?
Mi sitaki demu mwingine coz wote ni wale wale tu kinacho niuzi ni kuka namfikiria mi nataka kumsahau kabisa ila nashidwa hapa ndo mtihani au kaniloga!!!
Mi sitaki demu mwingine coz wote ni wale wale tu kinacho niuzi ni kuka namfikiria mi nataka kumsahau kabisa ila nashidwa hapa ndo mtihani au kaniloga!!!
Mi sitaki demu mwingine coz wote ni wale wale tu kinacho niuzi ni kuka namfikiria mi nataka kumsahau kabisa ila nashidwa hapa ndo mtihani au kaniloga!!!
pole, ndo unakua hivyo.
Hiki ni kipimo chako cha ukomavu, kama angekuwa hata anakuheshimu kidogo achia mbali kukupenda asingekuacha uende kirahisi hivyo.