Nifanyeje?

chikaputula

Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
28
Reaction score
3
Wakuu,kwa wale wanaojua kuhusiana na mitihani ya weledi ya bodi ya ugavi(procurements) naomba wanijuze,

-kwa mtu aliyeishia kidato cha nne na ana matokeo ya daraja la tatu anaanza kwa kufanya mitihani ya stage gani?

-vipi kuhusu gharama(gharama za kulipia mitihani na mengineyo?

-kwa mfano,kwa mtu aliye morogoro anaweza kupata reviw classes wapi na kwa gharama gani?

-naomba kujuzwa pia vituo vya mitihani vinapatikana mikoa ipi ikibidi na maeneo?

AKHSANTENI KWA KUNISAIDIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…