Wakuu,kwa wale wanaojua kuhusiana na mitihani ya weledi ya bodi ya ugavi(procurements) naomba wanijuze,
-kwa mtu aliyeishia kidato cha nne na ana matokeo ya daraja la tatu anaanza kwa kufanya mitihani ya stage gani?
-vipi kuhusu gharama(gharama za kulipia mitihani na mengineyo?
-kwa mfano,kwa mtu aliye morogoro anaweza kupata reviw classes wapi na kwa gharama gani?
-naomba kujuzwa pia vituo vya mitihani vinapatikana mikoa ipi ikibidi na maeneo?
AKHSANTENI KWA KUNISAIDIA.