Niffah; msema kweli mpenzi wa Mungu

Hahahaha jaman Yesu wangu wacha mie niongeze siku za kuishi taratibu mkuu warembo watakupopoa na mawe
Huyu kaka yangu usipomjua unaweza kujinyonga [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Vp kale kakibanda kenu pale jangwani hakajauzwa tu?
Subiri leo jioni tukutane kule kwenye sports mkuu,baada ya mechi kati yetu na Mbeya City uniulize hilo swali.[emoji4]
 
Subiri leo jioni tukutane kule kwenye sports mkuu,baada ya mechi kati yetu na Mbeya City uniulize hilo swali.[emoji4]
Hahaaa muda huo utakuwa na machungu, nahisi utalala na viatu leo
 
Achana nao wiiiii ilimradi anayekupenda hajakwambia hvyo enjoy bwana, ila watu basi tu
Wii usipoizoea hii hali ni zaidi ya hatari. Hujawahi kusikia watu wakijiua sababu ya bullying kwenye mitandao?
Kwangu mimi kheri tu as long as kila dakika Bold ananiambia ni-mrembo kuliko wanawake wote duniani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120]
 
Wii usipoizoea hii hali ni zaidi ya hatari. Hujawahi kusikia watu wakijiua sababu ya bullying kwenye mitandao?
Kwangu mimi kheri tu as long as kila dakika Bold ananiambia ni-mrembo kuliko wanawake wote duniani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120]
Nafahamu wifi yangu,hahahah mrembo wetu wa kimasai , sie twakupenda mamy usijali
 
umetisha mkuu
 
anavigimbi huyo hatari
mwembamba mpaka mkoba wake ameujaza mawe upepo ukija asipeperuke



jk
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yeuwiiiii jamani ni nini hiki mtatuua kwa kucheka jamanii
 
Pole sana Dam55 vipi hujabahatika kupata mateka mpyaaa tena baada ya Huyo kunyakuliwa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…