Niffah; msema kweli mpenzi wa Mungu

Niffah; msema kweli mpenzi wa Mungu

Niffah ni mrembo na upstairs kuko vizuri, hapo mkuu the bold ameokota Diamond ni juu yake kuitunza...she's " Iron Lady", ukiwa nae na ww mpambanaji lazima utawin tu.. hongereni.
Shukraan broh [emoji120]
 
She is beautifully, kila kitu anacho kwa kiasi kinachotakiwa, hajazidisha wala hajapunguza, sura nzuri, rangi ya mtume, hips huulizi, hiyo kwenye emoji zako imekaa muundo fulani amaizing, goti akivaa kimini na wewe ndio mme wako akakatisha sebuleni huku umekaa, ukiona lile goti hata kama alikua anawahi mazishi utamrudisha kitandani mmalizane kwanza,mguu anao wa Wine pamoja na Whisky. Inshort ni msichana anayeweza kumvutia kila mwanaume bila kujali anaakili timamu au chizi.

Dah,asante sana mkuu,sio kwa compliments hizi.
Shukraan
BTW bado naikumbuka ahadi yako ya gauni endapo niki-conceive [emoji85]
 
Dah,asante sana mkuu,sio kwa compliments hizi.
Shukraan
BTW bado naikumbuka ahadi yako ya gauni endapo niki-conceive [emoji85]
Sio gauni tu pia tatoa show ya bure kucheza kwaito, Najua harusi itakua kati ya Arusha, Moro na Dar.
 
Hapo hujamwona live unachanganyikiwa hivyo??? Sasa mkikutana live itakuwaje? si utabaka kabisa
 
Back
Top Bottom