Niffer atoa majibu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutaka akamatwe kwa uchangishaji wa fedha kwa ajali ya maafa Kariakoo

Niffer atoa majibu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutaka akamatwe kwa uchangishaji wa fedha kwa ajali ya maafa Kariakoo

waziri mkuu alipaswa kutamka wanaochangisha fedha wasitishe na walizochangisha wazikabidhi, bila kumchafua mtu wala kumdhalilisha
Kwa nyadhifa aliyo nayo waziri mkuu, hakukuwa na haja ya kumtaja Niffer, halafu dogo mbona DAGAA tu! Wanamuonea, na waziri mkuu hajafanya poa
 
waziri mkuu alipaswa kutamka wanaochangisha fedha wasitishe na walizochangisha wazikabidhi, bila kumchafua mtu wala kumdhalilisha
Nimeikuza ili niisome kwa ufasaha.

Kwamba wewe “eddy John Doe wa JF unamfundisha Waziri Mkuu wa JMT mwenye makamu Waziri mkuu ndani ya Ofisi yake namna ya kufanya kazi?

Tena unadiriki kumpangia cha kusema na namna ya kukisema? Okay.

Wewe ndio ulimshauri huyo Niffer atoe yale majibu kwa Waziri mkuu.

Mmeota majipu makwapani.
 
Nimeikuza ili niisome kwa ufasaha.

Kwamba wewe “eddy John Doe wa JF unamfundisha Waziri Mkuu wa JMT mwenye makamu Waziri mkuu ndani ya Ofisi yake namna ya kufanya kazi?

Tena unadiriki kumpangia cha kusema na namna ya kukisema? Okay.

Wewe ndio ulimshauri huyo Niffer atoe yale majibu kwa Waziri mkuu.

Mmeota majipu makwapani.
Nimasuala ya uchumi, huyu mwalimu wa mwandiko tukimchekea atatuvurugia uchumi, ifike sehemu tuheshimiane. Wakati mzee bilikwija anamsaidia mwalimu nyerere kuondokana na hali ngumu ya uchumi nyie mlikuwa hamjazaliwa.
 
Nimasuala ya uchumi, huyu mwalimu wa mwandiko tukimchekea atatuvurugia uchumi, ifike sehemu tuheshimiane. Wakati mzee bilikwija anamsaidia mwalimu nyerere kuondokana na hali ngumu ya uchumi nyie mlikuwa hamjazaliwa.
Kwahiyo Kama tulikua hatujazaliwa ni haki yenu kugeuza mamlaka na majukumu ya nchi kuwa mambo ya kishkaji kisa babu zenu wamejuana ujanani?!

Masuala ya uchumi ndio anayapambania huyo dada? Kwahiyo Waziri mkuu afunge ofisi aache kazi kwa sababu Jenifa anapambania masuala ya “Uchumi?

Tingisha kichwa hicho ubongo umeanza kujitenga na fuvu, unasinyaa!
 
Kwahiyo Kama tulikua hatujazaliwa ni haki yenu kugeuza mamlaka na majukumu ya nchi kuwa mambo ya kishkaji kisa babu zenu wamejuana ujanani?!

Masuala ya uchumi ndio anayapambania huyo dada? Kwahiyo Waziri mkuu afunge ofisi aache kazi kwa sababu Jenifa anapambania masuala ya “Uchumi?

Tingisha kichwa hicho ubongo umeanza kujitenga na fuvu, unasinyaa!
sikiliza kila mji unawazee, mamake niffer ni boss WFP na mwaka huu mnanjaa mvua zimedinda, mtaenda kuomba msamaha kwa kutambaa kama hamjapewa masharti ya kuoana wanaume ndo mpewe chakula
 
sikiliza kila mji unawazee, mamake niffer ni boss WFP na mwaka huu mnanjaa mvua zimedinda, mtaenda kuomba msamaha kwa kutambaa kama hamjapewa masharti ya kuoana wanaume ndo mpewe chakula
Huo uboss wa mama yake umemsaidiaje binti mpaka kumpelekea kua “winga mjasili mpaka wa mwili wake mwenyewe?

Punguza kulamba makalio ya binaadam wenzako matokeo yake ile harufu ishakuvuruga ubongo unadhani kila mtu omba omba Kama wewe.
 
Huo uboss wa mama yake umemsaidiaje binti mpaka kumpelekea kua “winga mjasili mpaka wa mwili wake mwenyewe?

Punguza kulamba makalio ya binaadam wenzako matokeo yake ile harufu ishakuvuruga ubongo unadhani kila mtu omba omba Kama wewe.
winga anatembelea Range, kweli sinza ina wenyewe
 
Niffer ameonyesha utofauti wa chawa na mtu anayejisimamia
Kama una amini unachokifanya ni sahihi fanya,ila kuwa chawa ni upotofu
Namuunga mkono Niffer kujibizana na PM,PM naye ni mtu kana wengine,tunam7heshomu ila hatumuogopi
 
Back
Top Bottom