incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
Hivi wanaume wa hivi wapo kweli? Mtu mwenyewe mwoga sasa hata hivyo vichambo ukipewa uta vi edit viwe vichambwazaJaman wakuu naona upole wangu unaniponza ni takribani mwez tangu niachane na girlfriend wangu ila cha ajabu had leo kila nikifungulia simu lazma nikute matusi na mabango kutoka kwake had naogopa kumuazma mtu sim maana ninaweza kumwazima mtu mara mabango yaanze nichekwe bure... sasa leo nimeona niwaombe wataalam wa kuchamba humu wanisaidie mabango nikamfowardie ili anikome na mimi.
Hv ni app gani ukidownload waweza m block mtu asikupate au akipiga simu iwe inakata tu kwake,naona app nyingi hata ukiblock lakini saaana itamwambia mpigaji kua simu anayopiga iko busy,kitu kinachoonyesha kua mtu huyo yupo hewani.Kwan kitufe cha block cha simu yako kimepotea mkuu?
Simu yako mwenywe tu inaweza kumblock sio lazma application mkuuHv ni app gani ukidownload waweza m block mtu asikupate au akipiga simu iwe inakata tu kwake,naona app nyingi hata ukiblock lakini saaana itamwambia mpigaji kua simu anayopiga iko busy,kitu kinachoonyesha kua mtu huyo yupo hewani.
Hebu nisaidie maelekezo mkuu kwa smartphone,nje na app unafanyaje?Simu yako mwenywe tu inaweza kumblock sio lazma application mkuu
Ban yako inaisha lini best?Hivi wanaume wa hivi wapo kweli? Mtu mwenyewe mwoga sasa hata hivyo vichambo ukipewa uta vi edit viwe vichambwaza