Aina za funga hizi hapa- funga ya danieli, funga ya yohana mbatizaji, funga ya yesu, funga ya yona. Yohana mbatizaji alifunga kwa kula chakula cha aina moja tu, nzige na asali. Danieli alifunga kwa kutokula vyakula vitamu, alikula mtama na maji. Yona alilazimishwa kufunga siku tatu akiwa tumboni mwa samaki mkubwa. Wengine hufunga kwa kula masaa 12, 24, 48, 72, Yesu alifunga siku 40, kuna wanaojaribu kuvunja rekodi hiyo ila bado haijavunjwa. Anyway maombi ya kufunga ni muhimu ila hutegemea na imani ya mtu anaamini nini. Wengine wana dini yao na wana mfungo wao unaitwa swaum, huko wanajua wenyewe wanafunga kwa muda gani kula. Ziko aina mbalimbali za kufunga