cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 652
Nisaidieni wadau
Gari langu lilikuwa bovu fundi mmoja akasema atalitengeneza kwa laki moja akaja kulitengeneza badae akaanza nunua spare hii mara ile tukakubaliana kuwa nikinua hizo spare gari lisipone utarudisha gharama zangu zote akasema ndiyo, ameninunulisha spare gari halikupona na akakimbia, alikonunua spare inaonekana alinunua kwa bei ya chini kuliko aliyoniambia na kazi hataki kufanya amekuwa akinipiga chenga tu.
Sasa gharama imefikia 5mln na imemshinda akanidanganya atanipa engine ingine lakini wapi na hataki kuchukua spare alizoninunulisha. Je, nimfungulie kesi gani ya kujipatia pesa kwa udanganyifu,wizi wa kuaminiana au madai?
Hapa nafungua kesi gani: Kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, wizi wa kuaminiwa, kesi ya madai au vipi? Naomba msaada wenu wadau?
Gari langu lilikuwa bovu fundi mmoja akasema atalitengeneza kwa laki moja akaja kulitengeneza badae akaanza nunua spare hii mara ile tukakubaliana kuwa nikinua hizo spare gari lisipone utarudisha gharama zangu zote akasema ndiyo, ameninunulisha spare gari halikupona na akakimbia, alikonunua spare inaonekana alinunua kwa bei ya chini kuliko aliyoniambia na kazi hataki kufanya amekuwa akinipiga chenga tu.
Sasa gharama imefikia 5mln na imemshinda akanidanganya atanipa engine ingine lakini wapi na hataki kuchukua spare alizoninunulisha. Je, nimfungulie kesi gani ya kujipatia pesa kwa udanganyifu,wizi wa kuaminiana au madai?
Hapa nafungua kesi gani: Kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, wizi wa kuaminiwa, kesi ya madai au vipi? Naomba msaada wenu wadau?