Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,236
- 1,411
Mwendawazimu sikiliza ww sikitika sababu ni MWENDAWAZIMU SANA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushauri mtoto akizaliwa tu ukapime DNA ili kujua kama unalea vyako ama vya wenzio. Usije ukawa konda ama mpiga debe wakati basi lina mwenyeweNi miaka kadhaa kimeoa lakini sina mtoto. Kwa 'bahati mbaya' nyumba ndogo amepata mimba yangu. Siku-intend kuzaa nje ya ndoa. On one hand najua nitaitwa baba muda sio mrefu. But on the other hand naona kama ndio matatizo yameanza katika ndoa yangu. Nifurahi au nisikitike?
Ni miaka kadhaa kimeoa lakini sina mtoto. Kwa 'bahati mbaya' nyumba ndogo amepata mimba yangu. Siku-intend kuzaa nje ya ndoa. On one hand najua nitaitwa baba muda sio mrefu. But on the other hand naona kama ndio matatizo yameanza katika ndoa yangu. Nifurahi au nisikitike?
Usikitike kwa sababu umemcheat mkeo haijalishi anauwezo wa kuzaa au la, what goes around comes around utashangaa mtoto atakaezaliwa has a diferent race from u parents, i mean mhind mchina mzungu mwarabu or any otherNi miaka kadhaa kimeoa lakini sina mtoto. Kwa 'bahati mbaya' nyumba ndogo amepata mimba yangu. Siku-intend kuzaa nje ya ndoa. On one hand najua nitaitwa baba muda sio mrefu. But on the other hand naona kama ndio matatizo yameanza katika ndoa yangu. Nifurahi au nisikitike?