lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Vita huja kwa ajili ya kuokoa wengi wasijeumizwa na wengine,majeshi yapo kwa ajili ya ulinzi wa mataifa Yao ili yasivamiwe na wakorodi.
Ingawa Ni kweli, toka zamani vita zilitumika kuleta usawa pasipokua na usawa,kuleta haki pasipokua na haki,lkn ni vema kutatmini madhara na faida ya vita kabla ya kuanzisha vita.
Niger kunaweza kupelekea kutokea vita kubwa sana kwa Afrika yetiu amabayo haikuwahi kutokea toka kuumbwa kwa Dunia hii.
Vita hii inaweza kua kubwa zaidi kushinda hata vita baina ya Urusi na NATO huko Ukraine kwa Sasa, kwa sababu huko ni Urusi dhidi ya NATO kwa kuwatumia Ukraine,wakati Huku ni pande mbili, upande mmoja una nchi baadhi ya ECOWAS zikiongozwa na Nigeria na zikiungwa mkona na NATO.
Ingawa hapa ni USA na France, lkn mambo yakianza UK na akina German watasidia kwa namna moja ama nyingine.
Upande wa pili Kuna Niger Bukinafaso,Mali na washirika wake, hawa wakitetewa na Urusi.
Hawa pia mambo yakiwa magumu Kuna akina china na wenzao watasaidia kwa namna moja ama nyingine.
Hata hivyo pande zote mbili Zina waungaji wengine mikono ambao bado wako kimya ila mambo yakiharibika watajitikeza zaidi.
Kama vita ikianza itachukua mkondo wa kidunia zaidi badala ya kikanda,kwa sababu tayari wakingia vifua Wana chuki zao za asili na hata sasa huko Ukraine wanaendela kufanyiana unyama, yaani West na East. Kibaya zaidi vita hii pia Ina chembe ya madhara ya vita vya Ukraine, kwani west wameiwekea vikwazo Urusi na wanataka wasinunue gesi yake Ili Urusi ifilisike, nayo Urusi imeamua kupiga fitina ili wasipate gesi sehemu nyingine ili nao west wafilisike.yaani wangeweza kupata gesi toka Nigeria, kupitia Niger hadi urope.
Sasa hapa ujinga uko hivi. Ecowas wanataka kumrudisha madarakani mtu mmoja TU aliepinduliwa,kwa kuwatoa wapindua nchi wanaweza kuwa kumi tu. Lakini mwisho wa siku itatokea watakufa watuwatakufa watu milioni kumi. Je, huu sii ujinga wa ECOWAS.
Je, ECOWAS wamejaribu njia za diplomasia?
Ecowas wanafuata tqbia zilezile za USA,kutatua matatizo kama hayo kwa njia za vita,na mwisho wake hufa watu Kwa mamilioni.
Mfano Iraq Inamiliki WMD ipigwe, kiduku anamuliki nuke apigwe, hebu fikiria hapa mziki wake wangekufa wangapi? Gadafi mkorofi apigwe. Hatumpendi Assad wa Syria apigwe. Ecowas wanataka kutupeleka Huku kichwakichwa.
Narudia Tena ili kumrudisha mtu mmoja tu inabidi ecowas iwatoe madarakani wanamapinduzi kumi kwa mfano wa Niger, na ili kuwaondoa watu hao kumi ,basi ecowas wajiandae kupoteza wanadamu wasiopungua million kumi.
Maana watakufa wanajeshi na wasio wanajeshi,wa ECOWAS na Niger na WA nchi zisizo katika mgogoro huu.
watakufa watu kwa risasi mabomu na njaa.
Kumrudisha mtu mmoja tutarajie watu miion kumi. Hapa ndio Pana ujinga wa mwanadamu.
Ingawa Ni kweli, toka zamani vita zilitumika kuleta usawa pasipokua na usawa,kuleta haki pasipokua na haki,lkn ni vema kutatmini madhara na faida ya vita kabla ya kuanzisha vita.
Niger kunaweza kupelekea kutokea vita kubwa sana kwa Afrika yetiu amabayo haikuwahi kutokea toka kuumbwa kwa Dunia hii.
Vita hii inaweza kua kubwa zaidi kushinda hata vita baina ya Urusi na NATO huko Ukraine kwa Sasa, kwa sababu huko ni Urusi dhidi ya NATO kwa kuwatumia Ukraine,wakati Huku ni pande mbili, upande mmoja una nchi baadhi ya ECOWAS zikiongozwa na Nigeria na zikiungwa mkona na NATO.
Ingawa hapa ni USA na France, lkn mambo yakianza UK na akina German watasidia kwa namna moja ama nyingine.
Upande wa pili Kuna Niger Bukinafaso,Mali na washirika wake, hawa wakitetewa na Urusi.
Hawa pia mambo yakiwa magumu Kuna akina china na wenzao watasaidia kwa namna moja ama nyingine.
Hata hivyo pande zote mbili Zina waungaji wengine mikono ambao bado wako kimya ila mambo yakiharibika watajitikeza zaidi.
Kama vita ikianza itachukua mkondo wa kidunia zaidi badala ya kikanda,kwa sababu tayari wakingia vifua Wana chuki zao za asili na hata sasa huko Ukraine wanaendela kufanyiana unyama, yaani West na East. Kibaya zaidi vita hii pia Ina chembe ya madhara ya vita vya Ukraine, kwani west wameiwekea vikwazo Urusi na wanataka wasinunue gesi yake Ili Urusi ifilisike, nayo Urusi imeamua kupiga fitina ili wasipate gesi sehemu nyingine ili nao west wafilisike.yaani wangeweza kupata gesi toka Nigeria, kupitia Niger hadi urope.
Sasa hapa ujinga uko hivi. Ecowas wanataka kumrudisha madarakani mtu mmoja TU aliepinduliwa,kwa kuwatoa wapindua nchi wanaweza kuwa kumi tu. Lakini mwisho wa siku itatokea watakufa watuwatakufa watu milioni kumi. Je, huu sii ujinga wa ECOWAS.
Je, ECOWAS wamejaribu njia za diplomasia?
Ecowas wanafuata tqbia zilezile za USA,kutatua matatizo kama hayo kwa njia za vita,na mwisho wake hufa watu Kwa mamilioni.
Mfano Iraq Inamiliki WMD ipigwe, kiduku anamuliki nuke apigwe, hebu fikiria hapa mziki wake wangekufa wangapi? Gadafi mkorofi apigwe. Hatumpendi Assad wa Syria apigwe. Ecowas wanataka kutupeleka Huku kichwakichwa.
Narudia Tena ili kumrudisha mtu mmoja tu inabidi ecowas iwatoe madarakani wanamapinduzi kumi kwa mfano wa Niger, na ili kuwaondoa watu hao kumi ,basi ecowas wajiandae kupoteza wanadamu wasiopungua million kumi.
Maana watakufa wanajeshi na wasio wanajeshi,wa ECOWAS na Niger na WA nchi zisizo katika mgogoro huu.
watakufa watu kwa risasi mabomu na njaa.
Kumrudisha mtu mmoja tutarajie watu miion kumi. Hapa ndio Pana ujinga wa mwanadamu.