Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Nimeshindwa kuelewa kabisa huu ukalimani nikataka nikebehi na kusema alielewa kama ni mawese au ya karanga like hapaSijui hata kama umeisoma hiyo taarifa. Au pengine tafsiri yako na yangu zinatofautiana.
Sijaona popote pale ambapo Dangote Group wanataka kuuza kampuni yao. Bali wanataka kuuza 12.75% ya shares ili kufikia taratibu za uanzishwaji wake. Siyo kwa sababu ya vikwazo vya kutowapendeza baadhi ya watu.
Bali ni kwa sababu za kufinance project na kulipa madeni makubwa iliyonayo na hivyo kuendelea kumantain credit score yao nzuri waliyonayo. NNPC ilishanunua zaidi ya asilimia 7. Ikiahidi kununua hizo asilimia 12.75 zilizobaki. Kitu ambacho mpaka sasa hakijafanyika.
Sasa sijui tafsiri yako ya kudai kuwa kuna watu hawajapendezwa umeitolea wapi.
Sijaona hizo hesabu na riba kubwa alizolipa mpaka sasa ingawa alichukua sijui 5.5b mkopo na kulipa baadhi tena kwa riba kubwa
Acha waburuzwe