Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Msanii maarufu nchini Nigeria na mchezaji wa filamu Nollyhood amekataa kiasi cha Naira 10,000,000 sawa na shillingi 54,935,758.91 za Tanzania ili kumsapoti mwanasiasa anayefanya kampeni, mwanasiasa huyo aliona akimtumia huyo msanii kwenye kampeni atapata wanachama wengi na kura zitaongezeka, ila msanii huyo aliona hawezi kujichanganya,
Hivyo kuwaacha wafuasi wake waamue watakavyo maana kila mtu ana mapenzi na anayemuona anamfaa, yote hayo ni pamoja na kulinda heshima yake kwenye tasnia na ili awe wa yeyote yule atakaye ipenda kazi yake haijalishi chama, dini kabila na uraia.
Hivyo kuwaacha wafuasi wake waamue watakavyo maana kila mtu ana mapenzi na anayemuona anamfaa, yote hayo ni pamoja na kulinda heshima yake kwenye tasnia na ili awe wa yeyote yule atakaye ipenda kazi yake haijalishi chama, dini kabila na uraia.