Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ni muhimu sana tena sana.Mwenye wivu na Rais Samia basi afe tu . Tunadunda na kutamba na Rais Samia mpaka 2030.ndio tutaangalia tufanye nini.Was it necessary kumtaja mama kwenye huu uzi?
Ni habari ya UKWELIHii taarifa bila ya kuwekwa hiyo video ni udaku uliochangamka 🤒😎
Dera au nguoNguo imemdondosha
Kweli wewe huna akili kabisa.maaja umeshindwa kutambua kuwa hili ni jukwaa la siasa.na kama unataka habari zingine basi nenda kwenye majukwaa mengine.Akili hizo atoe wapi
Sawa mkuu.Ndio ni muhimu sana tena sana.Mwenye wivu na Rais Samia basi afe tu . Tunadunda na kutamba na Rais Samia mpaka 2030.ndio tutaangalia tufanye nini.
😂😂😂😂😂Waafrica na madaraka.....hatari
Pole zake
RC wa Simiyu naye kapumzika.Mzee Mtei kaamua kukaa zake nyumbani 🐼
Angalia post namba 23 .wadau wameweka videoAcha umbeya lete picha
Kama ni mrefu basi wewe ishia mahali unapoona uwezo wa akili yako umeishia.Hata huyo Kitenge mwenyewe ulipopatia hiyo habari hajaandika utopolo mrefu hivi. Jaribu kupunguza utoto dogo.
Vipi Jo Biden naye ni mwafrika? Acha kujikita kutoa lawama bila kufatakariWaafrica na madaraka.....hatari
Pole zake
Kwa taarifa yako huwa sisomi utopolo unaoandikaga humu jf, nikishaona kichwa Cha habari tu, nakupa kubwa yako.Kama ni mrefu basi wewe ishia mahali unapoona uwezo wa akili yako umeishia.
Apumzike wakati ndo ameanza?Mzee apumzike