Nigeria yaacha kununa, ipo tayari kujiunga na Waafrika wengine, pia Kiswahili chateuliwa kama lugha rasmi ya Afrika

Nigeria yaacha kununa, ipo tayari kujiunga na Waafrika wengine, pia Kiswahili chateuliwa kama lugha rasmi ya Afrika

Ile unai post hapa ukame ukianze kuua mbuzi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wacha kujifanya huijui kenya...kenya waijua km vile m siijui...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Baringo ndio Nini?
 
Ahaa haaa.
Sasa sikilizeni. Vile tulivyochukua lile bomba la mafuta. Ndivyo tutakavyo chukua makao makuu ya huu Muungano wa AfCFTA.
Tumeshatenga eneo tayari kule Jijini Arusha karibu na Nelson Mandela African Institute of Science and Technology, along barabara ya Arusha Ring Road (East Africa By Pass) nasikia imeshaisha.

Wakenya sahauni, Vitu vyote seriuos kwa ajili ya Afrika (Pan Afrikan Issues) hazitakaa zipelekwe Kenya maana nyie mnajulikana as an agent of neo-colonialism. Nyie chukueni yale mashirika ya kibeberu sijui micro soft, na mengine mengi kutoka ubeberuni. Lakini kwa issue ya huu umoja ni Ethiopia na Tanzania tu. Najua mtakuja na mapovu. kwa sababu you DON'T KNOW THE HISTORY OF AFRIKA.

CC:

pingli-nywee

MK254
 
Afadhali hii itakuwa lugha ya kwanza ya Waafrika. Sio hizo takataka zingine zilizoletwa na majitu. Hii ni habari njema. Kumekucha Afrika. Mababu zetu wanatabasamu kokote waliko.
 
Afadhali hii itakuwa lugha ya kwanza ya Waafrika. Sio hizo takataka zingine zilizoletwa na majitu. Hii ni habari njema. Kumekucha Afrika. Mababu zetu wanatabasamu kokote waliko.
Kitu cha kushangaza ni kuona Kenya ambayo ni miongoni mwa chimbuko la Kiswahili, wengi wenu hasa waliokwenda shule wanakidharau na kukipuuza, mkiongozwa na serikali na viongozi wenu
 
Tangu lini manyang'au mkajua Kiswahili? Au zile lugha zenu uchwara za kuokoteza okoteza majalalani ndizo mnaziita Kiswahili? Hebu wacha vihoja.

Manyang'au hamfui dafu Kwenye Kiswahili, kwahiyo msikaze shingo.... badala yake mje Tanzania tuwape twisheni ya sarufi kabla hamjarukia habari za Afrika kusini. Mtatutia aibu.
 
Kwanza wale we mtaa ndio watapelekwa afrika kusini.
Mode anaingia daro na kugotea mastude ; ' niajez watunguyaz?'
[emoji16] hadi raha [emoji38][emoji28]
Wakenya mungu anawaona kelele zote hizi kumbe mnaishi kwenye slum hii ndiyo maana wakenya wanaumia kuona tz hakuna slum .Siku kwenye mtihani ukiulizwa nchi pekee ya Africa isiyo na slum usisite kujibu TANZANIA
 
kiswahili chenyewe hat hamkijui '' VILE VENYE MNASEMA KACHUkUAGA BIBI YA MWENYEWE'' sijui hiki ni kiswahili cha wapi
Hawa manyang'au wanajitutumua lakini sarufi inawagomea vibaya. Angalau ndugu yao MK254 anatamba humu na Kiswahili chake cha kukariri kwenye majarida. Anajitahidi lakini bado sarufi yake duni mno. Kiswahili chake ni kama cha roboti aliyejazwa mifumo ya lugha kwenye CPU yake.
 
Wakenya mungu anawaona kelele zote hizi kumbe mnaishi kwenye slum hii ndiyo maana wakenya wanaumia kuona tz hakuna slum .Siku kwenye mtihani ukiulizwa nchi pekee ya Africa isiyo na slum usisite kujibu TANZANIA
Mbona uko obsessed na 'slum' hivi? Hakuna komenti utarusha humu bila kutaja slum. Nina wasiwasi unaishi kwa nyumba ya tope iliyoezekwa na nyasi hapo mbagala
 
Hawa manyang'au wanajitutumua lakini sarufi inawagomea vibaya. Angalau ndugu yao MK254 anatamba humu na Kiswahili chake cha kukariri kwenye majarida. Anajitahidi lakini bado sarufi yake duni mno. Kiswahili chake ni kama cha roboti aliyejazwa mifumo ya lugha kwenye CPU yake.
Huyo jamaa kajifunzia Kiswahili humu humu. Alipojiunga enzi hizo akijiita lawmaina alikuwa na Kiswahili kibovu balaa.
 
Hawa jamaa wanapenda sana kutembelea nyota yetu
Tanzanite walijifanya yao,mlima Kilimanjaro wanajifanya upo kwao na sasa wanataka kukifanya kiswahili kiwe chao
Karafuu zetu pemba wakadai zao pia. Sasa kiswahili cha Unguja mjini nacho chao, na wanaotaka kuunganisha Bara la afrika sio tena Nyerere ni Uhuru ndio muanzishaji 😀 😀 wacha tukae kitako tupunge upepo tu
 
Mi niwashauri tu msije mkawafundisha wenzenu kuwa Nyanya ni Grandmother, tafadhalini NYANYA ni tomato ile vegetable. Bibi ni grandmother, na ukitaka kumwambia mtu Sit Down sio Keti chini, ni "kaa chini" ndio kiswahili original
 
Huyo jamaa kajifunzia Kiswahili humu humu. Alipojiunga enzi hizo akijiita lawmaina alikuwa na Kiswahili kibovu balaa.
Hehe... Kiswahili chake ni kama cha roboti 'aliyechakatwa' [programmed].

Kumbe lijamaa limepigwa twisheni humu! MK254
 
Hahahahaa kitu ambacho wakenya mnaweza ni komedi tu, Uhuru anaweza kutunga hata sentensi moja ya kiswahili kweli..!!??
 
Ahaa haaa.
Sasa sikilizeni. Vile tulivyochukua lile bomba la mafuta. Ndivyo tutakavyo chukua makao makuu ya huu Muungano wa AfCFTA.
Tumeshatenga eneo tayari kule Jijini Arusha karibu na Nelson Mandela African Institute of Science and Technology, along barabara ya Arusha Ring Road (East Africa By Pass) nasikia imeshaisha.

Wakenya sahauni, Vitu vyote seriuos kwa ajili ya Afrika (Pan Afrikan Issues) hazitakaa zipelekwe Kenya maana nyie mnajulikana as an agent of neo-colonialism. Nyie chukueni yale mashirika ya kibeberu sijui micro soft, na mengine mengi kutoka ubeberuni. Lakini kwa issue ya huu umoja ni Ethiopia na Tanzania tu. Najua mtakuja na mapovu. kwa sababu you DON'T KNOW THE HISTORY OF AFRIKA.

CC:

pingli-nywee

MK254
Tuelimishe Historia ya Afrika you.😂😂😂
 
Back
Top Bottom