mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,480
Haya basi, tumia kingereza kuzungumza nasi kwa kuwa Kiswahili kimetushinda.Tangu lini manyang'au mkajua Kiswahili? Au zile lugha zenu uchwara za kuokoteza okoteza majalalani ndizo mnaziita Kiswahili? Hebu wacha vihoja.
Manyang'au hamfui dafu Kwenye Kiswahili, kwahiyo msikaze shingo.... badala yake mje Tanzania tuwape twisheni ya sarufi kabla hamjarukia habari za Afrika kusini. Mtatutia aibu.
Ukizungumza au kuwasiliana na beans zenu Mzansi/Afrika Kusini mnakitumia Kiswahili?