Nigeria yafungia Twitter kwa muda, yatumia Twitter kutoa tangazo la kufungwa kwa Twitter

Nigeria yafungia Twitter kwa muda, yatumia Twitter kutoa tangazo la kufungwa kwa Twitter

Sam Gidori

Senior Member
Joined
Sep 7, 2020
Posts
165
Reaction score
417
Serikali ya Nigeria imefungia kwa muda usiojulikana huduma za Mtandao wa Kijamii wa Twitter kwa madai ya Mtandao huo kutumika kuhatarisha uthabiti wa taifa hilo.

Tangazo rasmi la kufungiwa kwa mtandao huo limetolewa siku ya Ijumaa na Waziri wa Habari na Utamaduni, Alhaji Lai Mohammed kupitia akaunti ya Twitter ya Wizara hiyo.

 
Juzi, Buhari alifutiwa tweet yake kisha akafungiwa account kwa saa kadhaa. Nafikiri serikali ya Nigeria nayo imeamua kujibu kwa kuifungia Twitter.
 
Mbwa kala Mbwa... Kama Mbwai mbwai tu
 
Ndo maana hua nasema viongoz
Wa Africa hawana tofauti na
Mwemdawazimu au saa mbovu
 
Mimi Kila account mnayoifungua inashinda siku moja to inaji log out na inajifunga mpaka nimeghairi
Sijui tatizo no nini
 
Trump alipigwa barn ikaishia kwake Tu. Huku afrika mamilioni wanakula barn kwa sababu ya upuuzi wa mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom