BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Habari na Utamaduni ya Shirikisho nchini humo imesema serikali inataka kulinda vipaji vya ndani na kukuza uchumi.
Kwa mujibu wa Wizara ya Habari, kuanzia sasa watangazaji, matangazo na bidhaa zote za masoko na mawasiliano nchini humo zinatakiwa kuwatumia waandaaji na wasanii wa ndani pekee.
Utekelezaji wa agizo hilo ambalo halitahusu kampeni na matangazo yanayoendelea kwenye vyombo vya Utangazaji, utaanza rasmi Oktoba 1, 2022.
==============================
Kwa mujibu wa Wizara ya Habari, kuanzia sasa watangazaji, matangazo na bidhaa zote za masoko na mawasiliano nchini humo zinatakiwa kuwatumia waandaaji na wasanii wa ndani pekee.
Utekelezaji wa agizo hilo ambalo halitahusu kampeni na matangazo yanayoendelea kwenye vyombo vya Utangazaji, utaanza rasmi Oktoba 1, 2022.
==============================