Nigeria yatwaa Ubingwa Kombe la Dunia U-17

Nigeria yatwaa Ubingwa Kombe la Dunia U-17

Joined
Mar 2, 2012
Posts
57
Reaction score
17
attachment.php


Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria, Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.


Nigeria iliyofunga Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 huku mshambuliaji wake Victor Osimhen akitia nyavuni goli la kwanza na Funsho Ibrahim Bamgboye akaongeza goli la pili na la ushindi.Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Mexico kwa mabao 3-0.


Mshambuliaji Victor Osimhen ameibuka mfungaji bora kwa kufunga jumla ya magoli 10 katika michuano hiyo.Afrika ilikuwa imekwisha jihakikishia ubingwa wa dunia baada ya kufika fainali kwa mataifa mawili ya Afrika ambayo ni Nigeria na Mali kufika fainali.

Chanzo: BBC
 

Attachments

  • Screenshot from 2015-11-09 15:15:54.png
    Screenshot from 2015-11-09 15:15:54.png
    114.3 KB · Views: 297
Safi kabisa
hongereni sana NIGERIA na AFRICA kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom