Nigeria: Zaidi ya watu 100 wauawa baada ya vikundi vya wanamgambo kuvamia Wanakijiji

Nigeria: Zaidi ya watu 100 wauawa baada ya vikundi vya wanamgambo kuvamia Wanakijiji

Usipoamini sio tatizo mkuu kwasababu ni njia umeamua kufuata, shida inakuja kuwapumbaza wengine kwa uongo usio na ushahidi hapa ndio panashindikana kupanyamazia.

Matendo yenu yako wazi,jamii zingine zitaishi kwa amani sana kama jamii hiyo hakuna waislamu wengi,ila wakiwa waislamu wengi kwenye jamii husika wasio waisalamu huteseka sana,zenji tu hapo watu wanachomewa makanisa mnataka wakaabudu wapi?achilia mbali kuwanyima ardhi.
 
"......sema: hakika allah haamrishi mambo machafu, je mnamzulia allah yale msiyoyajua?."
Qur'an 7:28

Hayo ni maneno tu vitendo viko wazi magaidi wote dunia wenye mlengobwa kidini 90% niwa islam,hapo unapata hoja ipi kusema hii ni imani ya haki,mbona hatusikii vikundi vya kigaidi vya kibudhaa au vya kikiristo vikiua na kuangamiza watu,kubali kataa uislamu ni ttzo.
 
Usipoamini sio tatizo mkuu kwasababu ni njia umeamua kufuata, shida inakuja kuwapumbaza wengine kwa uongo usio na ushahidi hapa ndio panashindikana kupanyamazia.
Mkuu ukweli ndio huo uislam sio dini rafiki kwa wasio waislam.

Jinsi wakristo au dini nyingine zinavyoishi na watu wasio wa imani yao ni tofauti kabisa na uislam, hata sio mbali hata hapa Zanzibar penyewe pia waweza jionea mara wachome makanisa ya wakristo ni wapuuzi kabisa.
Moja ya dini za hovyo kabisa ni hii.
Na nchi ambapo waislam ni wengi na wameshika sana sana hii dini lazima ukute kuna machafuko.
 
Matendo yenu yako wazi,jamii zingine zitaishi kwa amani sana kama jamii hiyo hakuna waislamu wengi,ila wakiwa waislamu wengi kwenye jamii husika wasio waisalamu huteseka sana,zenji tu hapo watu wanachomewa makanisa mnataka wakaabudu wapi?achilia mbali kuwanyima ardhi
Mkuu hapo zanzibar hayo wanayoyafanya ni kwa mujibu wa uzanzibar wao sio uislamu mkuu, maana wao hawana mamlala ya kufanya hivyo.

Uislamu umegawanya majukumu kuna mambo ni mas-uliya ya raia na mengine ni ya watawala na viongozi, so habari ya makanisa naa nyinginezo ni kazi za watawala hivyo waliofanya hivyo wamekosea na si mafundisho ya uislamu.
 
Hayo ni maneno tu vitendo viko wazi magaidi wote dunia wenye mlengobwa kidini 90% niwa islam,hapo unapata hoja ipi kusema hii ni imani ya haki,mbona hatusikii vikundi vya kigaidi vya kibudhaa au vya kikiristo vikiua na kuangamiza watu,kubali kataa uislamu ni ttzo.
Ni kwasababu wanatumika kuuchafua uislamu huwezi kufananisha dini kubwa na ya kale kama uislamu na ubudhha mkuu, kwenye uislamu kuna extremists kama kwenye dini nyingine kwani mara ngapi tunaona wahindi wekundu wameangamizwa kwa maelfu ule sio ugaidi? mayahudi hawakuchinjwa na hitler ule sio ugaidi?, hawa wote ni extremists kwenye mirengo yao wanayoifuata wakifanya hayo walaumiwe wao lakini uislamu haujafunza hayo.
 
Mkuu ukweli ndio huo uislam sio dini rafiki kwa wasio waislam.

Jinsi wakristo au dini nyingine zinavyoishi na watu wasio wa imani yao ni tofauti kabisa na uislam, hata sio mbali hata hapa Zanzibar penyewe pia waweza jionea mara wachome makanisa ya wakristo ni wapuuzi kabisa.
Moja ya dini za hovyo kabisa ni hii.
Na nchi ambapo waislam ni wengi na wameshika sana sana hii dini lazima ukute kuna machafuko.
Soma post #24 nimemjibu mkuu pale juu, uislamu ni dini ya amani sana na damu za watu zimelindwa mno kwenye uislamu isipokuwa yule aliyekuja kuwauwa watu nae atauwawa.
 
Back
Top Bottom