Naombeni kujua kwa wale wanaoelewa haya mabo.
tulijikuta tukipiga story me na rafiki yangu mmoja na tuka peana changamoto ya nini cha kufanya kwa huu mji tuliopo ili tupige hela. jamaa akanipa wazo la kufungua night lub, ila wote tukkawa hatuna ufaham juu ya biashara hii.
hivyo naombeni JF mnisaidie me na rafiki yangu;
Club yenyewe sio kua eti ni kuubwa au ya imataifa kama laliga, rock till bottom, maisha n.k ilatu
sehm ambapo watu wanaweza kudance, na kunywa kwa kiingilio huku wakiwa huru na ulinzi mzuri.
Je?
1. ni vitu gani vya lazima kisheria navyotakiwa kutimiza katika night club?
2. mziki wa kawaida (sio classic saaaana) utanikost bei gan?
3. Jengo tutakodi lolote linalofaa ila tunatakiwa kulifanyaje na garama zake ni kiasi gan (mfano sound proof)
decoration, kaunta n.k
naweza nisiweze kuuliza maswali yote ya msingi il naombeni mnifahamishwe kwa kadri ya uelewa wenu.
tulijikuta tukipiga story me na rafiki yangu mmoja na tuka peana changamoto ya nini cha kufanya kwa huu mji tuliopo ili tupige hela. jamaa akanipa wazo la kufungua night lub, ila wote tukkawa hatuna ufaham juu ya biashara hii.
hivyo naombeni JF mnisaidie me na rafiki yangu;
Club yenyewe sio kua eti ni kuubwa au ya imataifa kama laliga, rock till bottom, maisha n.k ilatu
sehm ambapo watu wanaweza kudance, na kunywa kwa kiingilio huku wakiwa huru na ulinzi mzuri.
Je?
1. ni vitu gani vya lazima kisheria navyotakiwa kutimiza katika night club?
2. mziki wa kawaida (sio classic saaaana) utanikost bei gan?
3. Jengo tutakodi lolote linalofaa ila tunatakiwa kulifanyaje na garama zake ni kiasi gan (mfano sound proof)
decoration, kaunta n.k
naweza nisiweze kuuliza maswali yote ya msingi il naombeni mnifahamishwe kwa kadri ya uelewa wenu.