Andazi
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 1,113
- 2,234
Nimekuwa nikisikia sana huu msamiati, kwangu ninachoelewa ni kuwa ni ndoto za kutisha.
Kuna maana nyingine nje ya hapo au ni tofauti na ndoto au ni dubwana linalosababisha kitu kwenye ulimwengu wa ndoto?
Kwa taadhima tuwakalibishe wazee wa kilinge tupate jambo, msitegeane, na yeyote mwenye elimu ambaye sikumtaja hapa;
Rakims
Herbalist Dr MziziMkavu
Mshana Jr
NB: Mahubiri ninayajua, so hapa nisingependa kuyasikia.
Kuna maana nyingine nje ya hapo au ni tofauti na ndoto au ni dubwana linalosababisha kitu kwenye ulimwengu wa ndoto?
Kwa taadhima tuwakalibishe wazee wa kilinge tupate jambo, msitegeane, na yeyote mwenye elimu ambaye sikumtaja hapa;
Rakims
Herbalist Dr MziziMkavu
Mshana Jr
NB: Mahubiri ninayajua, so hapa nisingependa kuyasikia.