Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
- Thread starter
-
- #41
heller ukiniita vovote ambavo moyo wako hutataka sawa tu aina shida. Sikoseyi kua makusud hila erimu yagu imefika apo nintakua najalibu kuwandika vizwuri kadili navoweza.sijaowa nina musichana mumoja ni mupenzi wagu?
Yaani umenikera tena we lijamaa sijui vipsamaani sana maji ya ngudu, katika kanisa nirifunzwa nisikere watu na asira ni pepo baya hukiwa na asira ina mana una pepo baya. jitahidi kupuguza asira usikereke na mambo ya duniya yanayoyeza kutupa dhambwi mbel ya mungu?
heller nabadiri nini. nirianza kununuwa kondo na kuwa sasa ninawo 28 ninataka niwahuze muakani hili ninunuwe ngombe ata wane. raisi wetu anafanya kazi nzwuri sana turikuwa tunatowa ela tukipereka mipunga sokon kuwa sasa ni bule akuna kutoa ela. Hasante sana.?
heller lafiki yagu ariniambia kua umu natakiwa niweke pincha ya watu wa zaman iri uwonekane musomi?
Sijuwi kua kweli ni ya nan hila ariweka yeye
Nielekeze upo wapi nikiweza nijeHujuwe kupata pesa ni njia lahisi au ngum ira sijui uko uripo ira ungekuwa uku hungepata iyo ela ata kwa biashara ya kuhuza kuku?