Niifate Simu yangu ama Niipotezee? Maana binti kaolewa na mwanaume mwingine

Niifate Simu yangu ama Niipotezee? Maana binti kaolewa na mwanaume mwingine

Wakuu,
Kuna binti kijiji jirani toka nilipo mimi,nilimpenda sana nae akanipenda sana,

Ilifikia hatua nikamnunulia simu, tukawa tunawasiliana, mapenzi yakakolea wakuu,binti kila anaekuja kuchumbia anamkataa,mpaka wazazi wake wakakaa nae kitako, wakamuuliza kama unakataa kuolewa je unataka uolewe na nani?

Akajibu nataka kuolewa na holoholo ikabidi nitafutwe na wazazi wa binti, ishu nikaikubali,wakaniambia nikajitambulishe, nikagoma

Katika matumizi ya simu binti alikuwa anatumia kwa siri sana,ila badae akaja akagundulika kuwa anatumia simu,akabanwa akasema kuwa nimempa mimi, akanyang'anywa, nikapigiwa simu niifuate nikagoma

Binti akaondoshwa pale nyumbani akapelekwa wilaya tofauti na ninayoishi mimi ila akawa ananipigia simu kwa siri, baadae akapatikana mchumba,binti akakataa katakata kuolewa lakini akalazimishwa kuolewa, binti akaolewa

Nipo katika dilema je niifuate simu yangu kwa wazazi wa binti au niipotezee.

Ushauri wenu wakuu

NB: stori hizi ninazoleta jukwaani si za kutunga.
Kuwa na kifua mkuu simu kitu gan achana nayo moyo wako unawivu usiotakiwa maana bint alionyesha Nia ya dhati kwako ila haukuwa interested nayeye Sasa simu yanin Tena

Achana ujanja wa kizamani kijana mwenzangu focus na maisha zaid kama unaye mwingne mpende zaidi
 
Kuwa na kifua mkuu simu kitu gan achana nayo moyo wako unawivu usiotakiwa maana bint alionyesha Nia ya dhati kwako ila haukuwa interested nayeye Sasa simu yanin Tena

Achana ujanja wa kizamani kijana mwenzangu focus na maisha zaid kama unaye mwingne mpende zaidi
sawa mkuu
 
Ulishindwa kumfuata binti nyumbani kwao, simu utaweza kuifuata?
 
Wakuu,
Kuna binti kijiji jirani toka nilipo mimi,nilimpenda sana nae akanipenda sana,

Ilifikia hatua nikamnunulia simu, tukawa tunawasiliana, mapenzi yakakolea wakuu,binti kila anaekuja kuchumbia anamkataa,mpaka wazazi wake wakakaa nae kitako, wakamuuliza kama unakataa kuolewa je unataka uolewe na nani?

Akajibu nataka kuolewa na holoholo ikabidi nitafutwe na wazazi wa binti, ishu nikaikubali,wakaniambia nikajitambulishe, nikagoma

Katika matumizi ya simu binti alikuwa anatumia kwa siri sana,ila badae akaja akagundulika kuwa anatumia simu,akabanwa akasema kuwa nimempa mimi, akanyang'anywa, nikapigiwa simu niifuate nikagoma

Binti akaondoshwa pale nyumbani akapelekwa wilaya tofauti na ninayoishi mimi ila akawa ananipigia simu kwa siri, baadae akapatikana mchumba,binti akakataa katakata kuolewa lakini akalazimishwa kuolewa, binti akaolewa

Nipo katika dilema je niifuate simu yangu kwa wazazi wa binti au niipotezee.

Ushauri wenu wakuu

NB: stori hizi ninazoleta jukwaani si za kutunga.
Visungura viwili akili itakukaa sawa
 
Toka uanzishe nyuzi watafuta mke, mara kwao wanataka ng'ombe kumi na mbili, mara sasa kaolewa mwingine hey,
 
Wakuu,
Kuna binti kijiji jirani toka nilipo mimi,nilimpenda sana nae akanipenda sana,

Ilifikia hatua nikamnunulia simu, tukawa tunawasiliana, mapenzi yakakolea wakuu,binti kila anaekuja kuchumbia anamkataa,mpaka wazazi wake wakakaa nae kitako, wakamuuliza kama unakataa kuolewa je unataka uolewe na nani?

Akajibu nataka kuolewa na holoholo ikabidi nitafutwe na wazazi wa binti, ishu nikaikubali,wakaniambia nikajitambulishe, nikagoma

Katika matumizi ya simu binti alikuwa anatumia kwa siri sana,ila badae akaja akagundulika kuwa anatumia simu,akabanwa akasema kuwa nimempa mimi, akanyang'anywa, nikapigiwa simu niifuate nikagoma

Binti akaondoshwa pale nyumbani akapelekwa wilaya tofauti na ninayoishi mimi ila akawa ananipigia simu kwa siri, baadae akapatikana mchumba,binti akakataa katakata kuolewa lakini akalazimishwa kuolewa, binti akaolewa

Nipo katika dilema je niifuate simu yangu kwa wazazi wa binti au niipotezee.

Ushauri wenu wakuu

NB: stori hizi ninazoleta jukwaani si za kutunga.
We ulitaka uendelee kumuharibi? Umeitwa Oa hutaki ulitaka nini? Simu kitu gani?
 
Unadate na watoto wa shule hizo ndo shida... kafate simu kama Uliwapa wazazi wake.
 
Kuwa na kifua mkuu simu kitu gan achana nayo moyo wako unawivu usiotakiwa maana bint alionyesha Nia ya dhati kwako ila haukuwa interested nayeye Sasa simu yanin Tena

Achana ujanja wa kizamani kijana mwenzangu focus na maisha zaid kama unaye mwingne mpende zaidi
Unaonesha nia wanakupotezea.....
Then unatulia wampate huyo mtakatifu wanaemtaka🥴
 
Back
Top Bottom