uraia wa mtu siyo rangi bali kitambulisho mfano passport ndio uthibitisha uraia wa mtu.
hapa tanzania kuna wazungu,wachina,waarabu na wahindi ambao ni watanzania
Mbona hizo picha hazijakaa KIUME?????
Naona kushiriki BBA ni upuuzi uliokithiri.
View attachment 139021
Nimepokea maombi mengi niwawakilishe big brother mwaka huu kutoka kwa wadau muhimu,wanaona na vigezo vyote
Mimi uwa ni muongeaji sana na mcheshi pia niko cool.
Sijui mnasemaje wadau, niko tayari kwa komenti zozote.
Ha ha ha ha Matola demu wake yupo hapa ujueuna uhakika kama ana demu? au unadhani yeye hawezi kuwa demu wa mtu? kwa tabia hizi ukiona manyoya usiulize sana.
we matola una wivu mwili wangu wa kimazoezi wakati wako minyama uzembe hapo niko mazoezi ulitaka nivae suti
We mvamizi wa jamvi la wenye akili, ni lini na wapi ndani ya jamvi hili uliona members wana na mawazo butu na threads zisizokuwa na mashiko kama zako!!!!
Tafadhari, hamia fb kwa wenzako. Maana umeshaanza mipasho kama waimba taarabu.
Mie naona kama vile unadandia hili jamvi la the great thinkers. Siku zote threads zako zinakuwa za ki-Facebook sana.
Dogo, hili jamvi siyo size yako. Hapa tunajadili issues, tunazidadavua na kupata ufumbuzi wake.
Mathalani wakati huu hapa nchini tunashuhudia namna tembo na faru wanavyoteketezwa, bunge la katiba lilivyojaa wanasiasa maccm, namna wabunge hao watakavyojipa shavu la 700, 000/= introduction of EFD machines, zinazowaumiza wavuja jasho, n.k.
Those are some of the issues that need to be discussed by the great thinkers.
Sasa kwanini huo ugoro wako unashindwa kuupeleka FB kwa watoto vichwa maji wenzio????
Tafadhari, heshimu jamvi hili na uhamishie mawazo yako hayo kwa watoto wenzio.
View attachment 139021
Nimepokea maombi mengi niwawakilishe big brother mwaka huu kutoka kwa wadau muhimu,wanaona na vigezo vyote
Mimi uwa ni muongeaji sana na mcheshi pia niko cool.
Sijui mnasemaje wadau, niko tayari kwa komenti zozote.
nina wasiwasi huyu jamaa si riziki,
mi naona vigezo unavyo..ila kitakacholeta shida ni utayari wako. Nami napendekeza ushiriki
Shiriki tu ila badiebey ataipata kazi humu jamvini
Shiriki binafsi sapoti ntakusapoti..
Mkuu tatizo unaonekana kama ni foreigner- muzungu fulani kupita washiriki wote waliowahi toka bongo!! Bare in mind me sio racist,vinginevyo Sura yako inauzika,hata mwili pia japo hujageuka hata nyuma(Kiding))))
Wengine hatujui kupiga hata kura ila utapata wa kukupigia wengi humu Jf
Nenda ndugu yangu....kwani nini bhana.,...we nenda tu!
You r body is killing. U r good. Just gooooooooo.kama nawe Ni umetaka from your heart.
Cjawapga kura it wil be da first time for me to do so
haya nenda.blaza....
Nenda jaman na mi ntapiga kura mwaka huu.. U r too hot
Mi ningependa mkaingia wote na Kiaz Kitam itakua noma sana umo Mjengon.
kiazi kitamu ndo nani huyo!
Ni kiazkitam
Mi ningependa ashiriki Matola jamani
:
:cc moneystunna
Mahari umeshalipa?
Ushapoteza vgezo,BBA huwa wanachukua wa2 ambao hawajatangaza nia hadharan,dats y hata unaoenda nao kwa audition mnakuwa hamjuan,nways go on n kila la kheri
Ata mshindi wa BBA mwaka majuzi alikua LEFT HAND kama wewe... Kura yangu unayo babu
Go go bro kma nafsi yko imeridhia nenda
Picha ziko nyingi nitaweka nyingine mdada
Ningeandika habari bila picha wangekuja hakina Tusker Baridi kutaka niweke picha.
Umewasahau wazee wa 'weka picha '
Nenda basi wewe ukawakilishe
Demu wako anachukulia poa tu???
vigezo ni vipi??
we ndo mshenga mbn upo kimbelembele kumjibia?
Sio mbaya mkuu ukienda kuuza sura
We ndio kimbembele kuuliza yasiyokuhusu,mie mshenga uliza lingine ntajibu
Go shombee, u got it ol
Sihitaji pesa nipe tigo yako tu niifumue na dildo
na we shombeshombe nini?!
reception ndo kigezo kinachomata BBA
Huoni picha !!
Heheheh wazee Wa madildo
shiriki mkuu!
do what your what is telling you!
cc. Money Stunna!
but huwa siamini kama ww ni hio sura hapo juu!
Mi nikienda nitaubili injili mwanzo mwisho
kumbe ndo weye huo? aiseee.
Go for it, I think u fit in there and I hope utatuwakilisha vema.. Goodluck
Inawezekana una uraia wa TZ lakin kwa uzoefu wangu wewe sio mTZ,kua mTZ kuna maana zaid ya kua raia wa TZ..
Money Stunna
we kaoge maji ya baharini ukija utafagiliwa
ovyooo unawaza ngono tu!! Utakua kuni cku ya kiama
ww
hahahahaha we msukuma unadamu ya kungun wewe ,kaogee majan yj mpapai
ha ha ha ha ha haaaa
uwiiiiiiiiiiiiih!!!!!
Nyoooooooo ushindwe kua wewe niwe mie kha!kuni my ass
Shiriki kama unashiriki tatizo hua haujiamin mbona hata kuna wanaomponda money stunna na hakasiriki
Lusungo naomba umhubiri huyu anaejiita mchicha hautofautian na mchelemchele
una uhakika kama ana demu? au unadhani yeye hawezi kuwa demu wa mtu? kwa tabia hizi ukiona manyoya usiulize sana.
kama kusoma hujui hivi hata picha huelewi?
mkuu heaven on desert, wewe ni mti wenye matunda kwaio usiogope kupigwa mawe!
Mbona hizo picha hazijakaa KIUME?????
Naona kushiriki BBA ni upuuzi uliokithiri.
Low thinking ability. Sehemu yenu sahihi ni Facebook. Pelekeni pumba zenu huko.
Acha mawazo potofu. Wewe weka picha yako tuone.
Mwanaume halisi uwa aogop mtu weka yako
Sehemu za siri wewe.....
Low thinking ability. Sehemu yenu sahihi ni Facebook. Pelekeni pumba zenu huko.
Haaahaaaa.....nilitaka kumjibu ila response hii inatosha.....
Hayo mambo za machine za TRA yanaingiaje jukwaa ili?
Hizo mambo peleka jukwaa husika si apa