Niiwakilishe Tanzania Kwenye Big Brother Mwaka Huu (2014)

Niiwakilishe Tanzania Kwenye Big Brother Mwaka Huu (2014)

Status
Not open for further replies.
Hizo Picha si zipo JF photos we money
ungeweka nyingine ina wezekana labda now una makovu makovu bwana mdogo

.
 
ntampigia kura na debe mwanzo mwisho..

.
Lol kura hazi make sense to me!
Utakufa masikini bure
Siku zote mshindi huwa anajurikana hata upige kura vipu!!
.
Na kuna tu unafiki unafiki huwa tunafanyika
 
Unataka awe na makovu hajapata shida huyo atayatolea wapi

.
Lol unavyo msapoti kama upo nae ndani ya 18.....
Au umewahi kum kagua kagua
afu hili jukwaa sheria zimeanza kukiukwa sana yaani mtu sio celebrety afu anakuja kutuuzia nyago humu ndani.....
.
any way
bullshit always gonna be bullshit
 
.
Lol unavyo msapoti kama upo nae ndani ya 18.....
Au umewahi kum kagua kagua
afu hili jukwaa sheria zimeanza kukiukwa sana yaani mtu sio celebrety afu anakuja kutuuzia nyago humu ndani.....
.
any way
bullshit always gonna be bullshit

Muulize mpenzi wake #badiebey kama ana makovu,ni ruksa nawe weka zako ukitaka
 
.
Lol kura hazi make sense to me!
Utakufa masikini bure
Siku zote mshindi huwa anajurikana hata upige kura vipu!!
.
Na kuna tu unafiki unafiki huwa tunafanyika

Hata yule mtanzania aliyeshinda kuna tuvitu tulifanyika.....?
 
Money Stunna Kakosa kimoja tuu.Havuti bhange tu hicho kitamnyima point sana.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom