Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
- Thread starter
- #61
Kwa kweli dunia inabadirika kwa kasi sana...hivi siku hizi imefikia wanaume tunabehave hivi no offense brother ila mwanaume kupenda kuonesha onesha picha zake in public...while pozi zenyewe ni za kulegeza shingo..kuonesha boxer pamoja na kulembua macho ni "GAY things"...vipi are..?? Sio kwa nia mbaya brother mi naheshimu hisia za mtu binafsi..
Cc money stunna
Hahahaha umenifurahisha wap nimerembua macho? Pozi za kulegeza shingo ina ubaya gani?
Hivo unavyoona kwenye picha ni kawaida ndivyo nilivyo.
Naheshimu mawazo yako na wengine nilishasema niko tayari kwa lolote