soma certificate for one year then ukimaliza ingia diploma kwa miaka miwili mambo yako yatakuwa safi, ila usifikiri sisi ni wa rika lako unatuambia habari za asubuhi!
Amkia pu.mb..a vu mkubwa wewe
Kama unaweza, ikiwa kama umefaulu sayansi, nenda kasomee Ikilimo au Afya ya Binadamu.
Ikishindikana,ikiwa tu kama unauhakika wa kazi, kasomee biashara. Vyote hivyo ni ngazi ya cheti.
Usihofu juu ya chuo, mwaka huu vyuo ni vya kujichagulia.