Wana jamii forum nilikua mnisaidie,mimi katika matokeo yngu nimepata dv three ya point 26 na masomo yote ya art yamebalance,ila katka ya sayans nimepta d ya chemistry bios b na geog c,je nisome comb gan hapo tuit, na kama ni art HKL ninaweza nikapta kzi gan ktka soko la ajra na vtabu vp nisome na kama n cbg nichukue vtabu gan na vp soko la ajra? Msaada wenu tadhali
Whats your future dream dictate what your are in by now!!!
Wana jamii forum nilikua mnisaidie,mimi katika matokeo yngu nimepata dv three ya point 26 na masomo yote ya art yamebalance,ila katka ya sayans nimepta d ya chemistry bios b na geog c,je nisome comb gan hapo tuit, na kama ni art HKL ninaweza nikapta kzi gan ktka soko la ajra na vtabu vp nisome na kama n cbg nichukue vtabu gan na vp soko la ajra? Msaada wenu tadhali
Wana jamii forum nilikua mnisaidie,mimi katika matokeo yngu nimepata dv three ya point 26 na masomo yote ya art yamebalance,ila katka ya sayans nimepta d ya chemistry bios b na geog c,je nisome comb gan hapo tuit, na kama ni art HKL ninaweza nikapta kzi gan ktka soko la ajra na vtabu vp nisome na kama n cbg nichukue vtabu gan na vp soko la ajra? Msaada wenu tadhali
nilikua na dream ya kua mwanasheria na si mwanasheria tu bali pia kuwa na elimu ya information technology na pia laboratory technique kwenye mambo ya nutrition,je niende na ip hapo bkoz zote nazpenda
Wana jamii forum nilikua mnisaidie,mimi katika matokeo yngu nimepata dv three ya point 26 na masomo yote ya art yamebalance,ila katka ya sayans nimepta d ya chemistry bios b na geog c,je nisome comb gan hapo tuit, na kama ni art HKL ninaweza nikapta kzi gan ktka soko la ajra na vtabu vp nisome na kama n cbg nichukue vtabu gan na vp soko la ajra? Msaada wenu tadhali
Duuuuu hv point 26 ni Div 3?????? i thought its Div 4!!!!!!!
Anyway..........here is the never untold true story of the real life!!!!!
Life is never real you can be best in anything as LONG as you have an interest of becoming best; kama mwanasheria sawa, kama mwana IT sawa, kama lab technician sawa!!!!! Lakini kitu hiki ni muhimu kufikiri nacho ni purchasing power ya maarifa yako uliosotea kwa kipindi ulichosotea. Mfano kama umeamua kuwa lab technician je wenye maabara wataweza kukulipa vema na je wana hela????? km umeamua kuwa mwanasheria hapa kila kitu ni pana wewe mwenyewe tu; unaweza kulala negative ukaamka positive nadhani unanielewa hapa; kama umeamua kuwa mwanaIT wewe mwenyewe tu lakini je huduma yako utamuuzia nani kwa mapana yake , na je wana hela za kukulipa???
MAJIBU YA MASWALI YOTE HAPO NI: NDIO WANA HELA ZA KUKULIPA AS LONG AS UNASTAHILI KULIPWA HELA NZURI; LET YOUR INNER PASSION DRIVE YOU CAREER!!!!! SI AJABU UKASHIKA KITENGO KIKUU CHA IT KWENYE MTANDAO WA GOOGLE, SIONI AJABU!!!!!
Siku hizi hatusomi kwa mtazamo wa ajira. Jipime uwezo wako na ukisoma nini utakifurahia zaidi. Ajira kwa level yako ni mapema mno kuanza kufikiri, ila profession unatakiwa kuanza kuijenga tokea unavyoanza form five, wengine walianza hata kabla. Kuhusu ajira ukiweka pamoja na uchaguzi wa combination utapotea njia sasa ivi. HKL CBG PCB, HGK yote ni masomo tu wala hakuna anayeajiriwa zaidi. Labda kama ajira ya ualimu iko kichwani mwako hiyo ipo sana tu, japo mpaka umalize sina uhakika kama bado upungufu utakuwa mkubwa na maslahi yatakuwaje. In short kasome Unachokipenda, utafaulu vizuri na utasonga mbele.