Rabiel
Senior Member
- Jul 20, 2013
- 197
- 40
Wana jamii forum nilikua mnisaidie,mimi katika matokeo yngu nimepata dv three ya point 26 na masomo yote ya art yamebalance,ila katka ya sayans nimepta d ya chemistry bios b na geog c,je nisome comb gan hapo tuit, na kama ni art HKL ninaweza nikapta kzi gan ktka soko la ajra na vtabu vp nisome na kama n cbg nichukue vtabu gan na vp soko la ajra? Msaada wenu tadhali