[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wacongo hadi wanaume huwa na dressing table zao kwaajili ya kuwekea vipodozi, kwahiyo kwauhakika chumbani kutakuwa na madressing table mawili, yani mke na mume wakiamka asubuhi kila mtu anawahi kwenye dressing table lake kwaajili ya kujipodoa...
Hahahaha... Pamoja na kuvaa cheni na hereni masikioni, huku nywele zao wakiziweka wave[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na kujipulizia pafyumu kumi kwa mkupuo!
wanatakaga uraia wa tanzania kwa kujidai wameoa hao!Jamani naombeni msaada wenu kwa niaba ya rafiki yangu. Kajiopolea mchumba au niseme boyfriend wa kutoka Congo ila tabia zao hazieleweki eleweki,wanagombana Kila kukicha. Yaani yuko mguu mmoja nje mmoja ndani.
Binafsi nimekua nao kwa mda mfupi nimejifunza machache anaewafahamu zaidi Mila zao na desturi afunguke hapa.
Jamani naombeni msaada wenu kwa niaba ya rafiki yangu. Kajiopolea mchumba au niseme boyfriend wa kutoka Congo ila tabia zao hazieleweki eleweki,wanagombana Kila kukicha. Yaani yuko mguu mmoja nje mmoja ndani.
Binafsi nimekua nao kwa mda mfupi nimejifunza machache anaewafahamu zaidi Mila zao na desturi afunguke hapa.