Zigo gani hilo ushimen jamanMinajua hua hawanenepi kwa kuelemewa na ZIGO.....[emoji13] [emoji13]
Inasemekena hayo MADUDE yana wakondesha miili hadi inakua kama wananyonywa damu......[emoji23] [emoji23]
Mengine misjui....
Nimesha kutumia picha mkuu.....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Zigo gani hilo ushimen jaman
Kujichubua hata wanaume aiseeKwanza wanapenda sana kujichubua asee kama wanawake.Yana watashindana kukaa kwenye dressing table.Ikibidi itanunuliwa nyingine.Pili ni watu wa kudekadeka sana na wengi ni mariooo.Tatu wana vumbi lao lile asee masaa sita mtu anampumulia demu,na visichana vya TZ mashauzi kibao bao moja hoi ataweza kweli kummudu mkongo?!!!
Sio mchumba wa mtu ni boyfriend wa rafiki yanguCongo kubwa na ina makabila mengi sana ambayo yana mila na desturi tofauti, huyo mchumbayo anatokea Congo hipi? Ana elimu yoyote au ni mtu wa sanaa kama mpiga mziki au kucheza mpira?
Ndio mkuu....[emoji13] [emoji13] [emoji13]Eti zigo dah
Hogo la jang'ombe....[emoji13] [emoji13]Zigo ni Nini? Dushelele au
Kumbe wanagombania dressing table na dada zao....[emoji87] [emoji87] [emoji87]Wanapenda kujisifia Sana'a, Ni mariooo pia wanapenda urembo Sana hasa wanaume
Yeah ndio walivyoHili ni kweli mkuu nimeshuhudia
Kusema vumbi unamaanisha nini?Wanagombana sababu weng ni marioo,na ni nchi wanamaumbile makubwa,,ukichanganya na vumbi ha ha ha utatamani vibamia mnavyovikandiaga hapa