Nijuzeni tabia za wacongo

Minajua hua hawanenepi kwa kuelemewa na ZIGO.....[emoji13] [emoji13]
Inasemekena hayo MADUDE yana wakondesha miili hadi inakua kama wananyonywa damu......[emoji23] [emoji23]
Mengine misjui....
Zigo gani hilo ushimen jaman
 
•Wakongo wapo radhi asile ila avae vizur
•Wanajichumbua wengi wao
•Wanapenda maisha ya hali ya juu
 
Kujichubua hata wanaume aisee
 
Minajua hua hawanenepi kwa kuelemewa na ZIGO.....[emoji13] [emoji13]
Inasemekena hayo MADUDE yana wakondesha miili hadi inakua kama wananyonywa damu......[emoji23] [emoji23]
Mengine misjui....
Eti zigo dah
 
Congo kubwa na ina makabila mengi sana ambayo yana mila na desturi tofauti, huyo mchumbayo anatokea Congo hipi? Ana elimu yoyote au ni mtu wa sanaa kama mpiga mziki au kucheza mpira?
Sio mchumba wa mtu ni boyfriend wa rafiki yangu
 
Zigo ni Nini? Dushelele au
Hogo la jang'ombe....[emoji13] [emoji13]
Haya majoka ya kibisa yanawanyima miili kabisa hawa jamaa.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaani wamejaaliwa hadi misude inawanyonya dam....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hogo la jang'ombe....[emoji13] [emoji13]
Haya majoka ya kibisa yanawanyima miili kabisa hawa jamaa.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaani wamejaaliwa hadi misude inawanyonya dam....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahaha balaa lol
 
Wanapenda kujisifia Sana'a, Ni mariooo pia wanapenda urembo Sana hasa wanaume
 
Wanapenda kujisifia Sana'a, Ni mariooo pia wanapenda urembo Sana hasa wanaume
Kumbe wanagombania dressing table na dada zao....[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Wanagombana sababu weng ni marioo,na ni nchi wanamaumbile makubwa,,ukichanganya na vumbi ha ha ha utatamani vibamia mnavyovikandiaga hapa
Kusema vumbi unamaanisha nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…