t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Kwa bei za vifurushi zilivopanda, kujikatia bima mwenyewe inataka ujipangeSuluhisho akate yeye mwenye bila kutegemea makato kutoka mishara ya mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa bei za vifurushi zilivopanda, kujikatia bima mwenyewe inataka ujipangeSuluhisho akate yeye mwenye bila kutegemea makato kutoka mishara ya mwanamke
10% nimetoa mfano mzee wangu kwa kifupi nlishafog chet cha ndoa nikamkatia demu wangu toka 2012 mpk 2019 nikamtoa mkuu kama unaongea tu kwa maneno matupu mimi nlisha practice 😆Wewe hujui chochote. Bima ya NHIF wanakata 3% ya mshahara na mwajiri anakulipia 3% jumla 6% na sio 10% uliyosema na sijui umeitoa wapi.
Bima huondoi mtu kwa kujisikia, unapeleka vielelezo, kama ni mume lazima upeleke cheti cha talaka ama kifo.
Acha ujinga ndo maana mkeo anakutishia sababu wewe bwege. Bima amekukatia mkeo wewe una pata wapi hata ujasiri wa kuitafutia haki? Kakate yako. Nyie madogo mnaaibisha sana wanaume siku hizi. Umeolewa na bima umekatiwa mbaya unatishiwa unakuja lia loa eti ushauri.mwambie asitishe.Kama mada inavyojieleza
Kuna rafiki yangu alikatiwa bima ya afya na mke wake sasa wana ugomvi mke anatishia kwenda kuifunga
Jamaa anaulizia utaratibu ukoje ili apambanie haki yake kama mume halali mwenye haki ya kutumia hiyo bima.
Mchango wenu tafadhali
Forgery ni kosa, miaka ya nyuma ilikua ni rahisi kufanya hivyo, sasa hivi vitu vimeunganishwa, uki forge ukagundulika utakua kwenye matatizo. Rita, NIDA , utumishi, mahakama vyote vinasomana sasa.10% nimetoa mfano mzee wangu kwa kifupi nlishafog chet cha ndoa nikamkatia demu wangu toka 2012 mpk 2019 nikamtoa mkuu kama unaongea tu kwa maneno matupu mimi nlisha practice 😆
HUYO NI MPUMBAVUKama mada inavyojieleza
Kuna rafiki yangu alikatiwa bima ya afya na mke wake sasa wana ugomvi mke anatishia kwenda kuifunga
Jamaa anaulizia utaratibu ukoje ili apambanie haki yake kama mume halali mwenye haki ya kutumia hiyo bima.
Mchango wenu tafadhali
Kila siku nawaambieni mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.Kama mada inavyojieleza
Kuna rafiki yangu alikatiwa bima ya afya na mke wake sasa wana ugomvi mke anatishia kwenda kuifunga
Jamaa anaulizia utaratibu ukoje ili apambanie haki yake kama mume halali mwenye haki ya kutumia hiyo bima.
Mchango wenu tafadhali