Nijuzeni utaratibu wa kusitisha bima ya afya kwa wanandoa

Wewe hujui chochote. Bima ya NHIF wanakata 3% ya mshahara na mwajiri anakulipia 3% jumla 6% na sio 10% uliyosema na sijui umeitoa wapi.

Bima huondoi mtu kwa kujisikia, unapeleka vielelezo, kama ni mume lazima upeleke cheti cha talaka ama kifo.
10% nimetoa mfano mzee wangu kwa kifupi nlishafog chet cha ndoa nikamkatia demu wangu toka 2012 mpk 2019 nikamtoa mkuu kama unaongea tu kwa maneno matupu mimi nlisha practice 😆
 
Acha ujinga ndo maana mkeo anakutishia sababu wewe bwege. Bima amekukatia mkeo wewe una pata wapi hata ujasiri wa kuitafutia haki? Kakate yako. Nyie madogo mnaaibisha sana wanaume siku hizi. Umeolewa na bima umekatiwa mbaya unatishiwa unakuja lia loa eti ushauri.mwambie asitishe.
 
Ningekuwa ndiyo Mimi mwanaume ningemwambia huyo mke afunge haraka sana na nakata nyingine muda huohuo
 
10% nimetoa mfano mzee wangu kwa kifupi nlishafog chet cha ndoa nikamkatia demu wangu toka 2012 mpk 2019 nikamtoa mkuu kama unaongea tu kwa maneno matupu mimi nlisha practice 😆
Forgery ni kosa, miaka ya nyuma ilikua ni rahisi kufanya hivyo, sasa hivi vitu vimeunganishwa, uki forge ukagundulika utakua kwenye matatizo. Rita, NIDA , utumishi, mahakama vyote vinasomana sasa.
 
Unatishiwa na mtu mnalala kitanda kimoja? Achana na hiyo bima akiamua kuifungiq na afunge.

Kama huna kipato cha kujikatia bima pambana upate pesa.

Yaani mwanamke anakutishia na wewe unalia,
 
Kila siku nawaambieni mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…