Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee mwenzangu, nime-google ili kujiridhisha, wataalamu wanadai kuna harufu itokayo kwa wanawake walio kwenye heat period inayowavutia wanaume........ haiyumkini ndio maana kuna wababa wanawabaka watoto zao au ndugu zao wa karibu, jibu limeshapatikana ni kumbe ni natural smell aisee..............!!!!!!!!!!
Hebu Bofya hii link: Men can sniff out ovulating women - Thaindian News
Sifa yake kubwa ni makalio makubwa tu.
Ni kweli kuna harufu (inaitwa ya utamu, kweli baba nilisomaga kwenye gazeti usinitolee povu), kuna joto la mwili na wataalam wa body language wanasomaga. Some ar lucky enough kupata maumivu ya tumbo la uzazi kiasi kwa sababu ya zile contractions za kutoa yai na kulisafirisha kwenye mrija wa falopiani kuelekea kwenye kizazi (womb). Lakini ili mwanaume ajue hayo yote ya harufu, joto nk kunalazimika kuwepo ukaribu kiasi cha kutosha. Ndo maana dini inasema 'usiikurubie zinaa'. Mwanamke si wako hadi uliskie joto na harufu unasaka nini? Excuses nyingi tu!
Swali kwako dingi: do u know the unique smell of ur wife's breath?
Mamndenyi, Mbona unaniulza maswali ya kunitega jamani.............! Unataka mama Ngina asome halafu na mimi niambulie kipigo! maswali kama hayo unatakiwa kuni PM..................LOLPole na safari.
Leo nimesoma story ni nzuri sana, sikutamani iishe,
je mkuu wewe unasemaje kuhusu hapo juu.