Nikapime DNA au nikubali tu yaishe?

Nikapime DNA au nikubali tu yaishe?

Kwani DNA sh ngapi?tafuta mtu mpe hela apime hiyo DNA hamna kinachoshindikana kwenye hela.
Bora kujua mbivu na mbichi

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Hahahahahahahaha hahahah nimecheka sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanawake hata awe na miaka 60 huwa fyuzi hazikai sawa.

Yaani mwanamke kichwfuchefu kama huyo mzee ulimuokota wapi BAR au Club au kwa wahaya.
 
Rudisha mtoto wa watu, Kama umepanga hama uo mtaa, badili namba ya simu anza maisha upya
 
Back
Top Bottom