Msema hovyo
Senior Member
- Jul 3, 2011
- 195
- 86
Wandugu imenilazimu kuingia humu, maana nimekuwa kimya kwa muda mrefu lakini sasa nimeamua. Na imenipasa kufanya hivyo kutakana na hasira ya kukosa umeme. Kwa kuwa kazi za ofisi haziendi wala nyumbani hakukaliki, nafikiri nitakuwa busy na simu yangu kushare mawazo na great thinkers humu ndani. Kwa kuanza napendekeza tuandamane kumshinikiza Ngeleja ajiuzulu.